What Are Tanzanians good at or renowned for ?Je watanzania wanatambulika kwa jambo gani duniani?

What Are Tanzanians good at or renowned for ?Je watanzania wanatambulika kwa jambo gani duniani?

Nyie mnaekula chakula kwa gharama ya serikali hata aibu hamna Marekani wanaita stamp food 🍲 hichi chakula wanapewa homeless people na watu fukara kupindukia, nyie ni Taifa zima linalishwa na serikali. Shame indeed

Fukara mnategemea Tanzania kwenye malighafi mpaka chakula cha msaada kutoka Tanzania.
Msaada gani na huwa tunanunua kwa pesa yetu. Unategemea middle income iombe msaada kwa LDC.
 
Asilimia kubwa ni


1. Wivu
2. Roho mbaya kwa wanaojiongeza kwa bidii zao
3. Udaku

😁😁😁
 
wajua nimetafakari mpaka kichwa kika niuma, watanzania wanatambulika kwa kuwa maarufu kwa jambo gani?
Kwa kuimudu na kuitumia vema lugha ya kiswahili katika nyanja nyingi kuliko taifa lingine lolote duniani.
 
Msaada gani na huwa tunanunua kwa pesa yetu. Unategemea middle income iombe msaada kwa LDC.
Did you understand me?
Your government is subsidies to the imported maize for the easy affordability to the general public since you are lazy, poor and insufficient to fight for your own meal 🍴 until government has to give you a hand 🖐️

https://www.the-star.co.ke/news/201...e-sh6billion-maize-subsidy-programme_c1704164

Where in Tanzania this stage of poverty is exercised? Instead we offer you food and now JPM denied the direct business we incorporate the WFP to come and buy our cereals surplus of more than 6 million metric tons on behalf of you. We're doing business with big people.
 
Unauliza swali kwenye Platform hii ambayo inamilikiwa na kuendeshwa na Wakenya?
Kama hujui basi ujue tunalisha nchi nyingi sana kwenye Ukanda huu. Pia ulishasikia Tanzanite inapatikana mahali pengine?
Njoo utembee Tanzania acha kujifungia Nairobi.

By the Way, Tanzania ina mambo mengi sana inatambulika nayo ila hiwezi kuyajua kama hufanyi utafiti. Watanzania hatujui kupiga kelele kama ninyi watani wetu! Tutajifunza taratibu taratibu tu!
 
wakenya ni wasahalifu sana,hatutoacha kuwakumbusha kuhusu uzuri wa tz na mambo makubwa yanayoitambulisha nchi yetu nje ya mipaka yake.

mojawapo ni hili[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Screenshot_2018-08-07-00-31-52-289_com.opera.browser.jpg
Screenshot_2018-08-07-00-31-26-529_com_1533591135135.opera.browser.jpg
 
ni kama sisi watz tunapofika nairobi tunadhani wakenya wengi ni wa south sudanese katokana na weusi wenyu uliopitiliza. [emoji23][emoji23][emoji23]
Haha wewe, hii ni below belt.... khaa!!!
 
ni kama sisi watz tunapofika nairobi tunadhani wakenya wengi ni wa south sudanese katokana na weusi wenyu uliopitiliza. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kuwa nweusi ina kasoro gani? Wa-sSudan si binadamu, maumbile ya mungu tu?

Nyinyi na huo uweupe wenyu mnatajika kwa kipawa ipi hasa duniani?
 
Wakenya wanaakili za kitoto.
 
Lakn wengi wanadhani Kilimanjaro iko Kenya!
I consider you a gentleman here
Can I ask you a question 🙋

Can you tell me a single creature hiking, trekking or summit on the Uhuru Peak 🗻 via whatsoever route originated from Kenya 🇰🇪 from the existence.?
 
tanzaniaans will be remembered of being humble, true friends, honest, while KE will be remembered of being arrogant, tribal, opportunistic, thieves and unreleable
 
Kwani kuwa nweusi ina kasoro gani? Wa-sSudan si binadamu, maumbile ya mungu tu?

Nyinyi na huo uweupe wenyu mnatajika kwa kipawa ipi hasa duniani?
ume-catch ma-feelings brother.. [emoji23][emoji23][emoji23]

anyway kuwa mweusi sana sio kasoro ndio rangi yenyu mungu amewapea.
 
Back
Top Bottom