What does kisumu port construction means to Mwanza, Bukoba and Port Bell?

Tatizo la wakenya hawana soko la bandari zao macho kodooo Tanzn, mtapata tabu kwa goli la kisigino subirini 😁😁
Mimi ni Mtanzania ninayeona fursa hapa. Si mfuasi wa Lumumba anayeshabikia mambo bila kufikiri.
 
Binafsi sijakuelewa unamaanisha nini.
 
Ubongo wako umeoza, you wake up piss drunk from chang'aa to come and write those nonsense!!
[emoji849][emoji849][emoji849]Ukweli lazima usemwe. If East Africa happen to becomes a country, Kenya Ndio ingepata hasara kubwa because of it's lazy neighbors.
 
Na Nani alikudanganya Kenya Kuna xenophobia? Jaguar hasimamii wakenya wote. He is just a Politician. And has been arrested as we speak.
 
tatizo lenu majiran zetu ni watu wa show off nakufikir eti wenzao wamelala iv mnajua kama tuna project ongoing ya kukarabati bandari ya mwanza kuiunganisha na reli ya SGR toka isaka then kusafirisha mizigo kuelekea port bella uganda !!! ss sijui kama ilijambo mnajua !!
 
Utakuwa umerogwa wew
We kweli Mbulu kenge,mfanyabiashara dungaembe kama ww ndio anaweza safirisha mzigo wake kutoka Dar port had mwanza then apakie kwenye meli hadi port bell Uganda akaacha kutumia route fupi ya Mombasa kisumu to portbell
Ndo maana nikakwambia mkitaka kuwini na kugawana mzigo wa Uganda jenga reli na hizo ports mbili from tanga Arusha to musoma,,then meli to Uganda hii ni route fupi kuliko Mombasa kisumu ila kutegemea hiyo ya mwanza mumechemka kama togwa
 

Povu tu.kwa ligi ya mdomo hamjambo
 
Hata SA walianza hivyo hivyo
Funny thing ni kuwa hakuna Mkenya ashawahi guzwa huko SA unlike noisy "tuliwakomboa" Tanzanians. Inaonekana Tz compete directly with Mzansi in the informal sectors hence the backlash.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…