king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,639
- 2,066
Mimi ni Mtanzania ninayeona fursa hapa. Si mfuasi wa Lumumba anayeshabikia mambo bila kufikiri.Tatizo la wakenya hawana soko la bandari zao macho kodooo Tanzn, mtapata tabu kwa goli la kisigino subirini 😁😁