"What goes around comes around"

Daaa mm ckuwagaa mlevii ilaaa tangu nimeanzaa kuishii na huyu mwanamkeee jaman jaman nimekuwaa cwez kurud nyumban bilaa kunywa japo bia tatu akilii initokee kidogo ..ilaaa nashangaa akisafirig najikutaa Cna hamu kbs na pombee
 
Asante Mama... Wanawake kama nyinyi ndo mnaopaswa kuolewa ,shida wanaume saivi niwachache tunaochagua sabab ya kichwa cha MTU.

Nmekupenda
 
Nilisema kutukana sio kukutukana...nilipokosea ni kusema huna akili,sorry hapo ndio nilikosea

Ila kivyovyote vile ujumbe uwahusu jinsia zote, wala sina haja ya kuanzisha uzi mpya kwa ajili yao
LEO ANAZUNGUMZIA WANAWAKE.....

WAPI HUJAELEWA??.
 
Daaa mm ckuwagaa mlevii ilaaa tangu nimeanzaa kuishii na huyu mwanamkeee jaman jaman nimekuwaa cwez kurud nyumban bilaa kunywa japo bia tatu akilii initokee kidogo ..ilaaa nashangaa akisafirig najikutaa Cna hamu kbs na pombee
Anza uchunguzi upya utakesha kwenye maombi msikitin na kwa waganga kumtafuta mchawi wako ,,,
 
Malipo ya mkosaji lazima yalipwe hata kama utamhandle mwenza wako kwakumbeba wakati wote, kama ulitendea wenzako vibaya basi ujue yatakupata kwa kiwango kile kile, hii nikweli kabisa
Bahati bukuku alisema "" Mimi ndo bwana shetan ,nikikukopesha deni langu,,lazima tu utalipa hata kama utachelewa kudaiwa".

Nisawa na demu , ametoa mimba kibao, alafu naye Analia kwann haolewi au kwann hazai ........SHITHOLES
 
Mi cjawahi muona. Kwani we unamjua
Mimi simjui , ila naamin unamuonaga humuhumu JF kama mwanamke mwenzako


Sasa kilichonishangaza niswal lako,,, Leo ndo umeona niwakat Wa kuliuliza ??? Au nisababu kapigilia msumali ??.

Watu bana ,, mshaanza kuutoa uzi ktk kiini chake!!.
 
Wamekuelewa Mama...... Wadangaji watakuuliza wewe ni jinsia gani ???.

Ulichosema nikweli ,tatizo hawapendi ..wamekuelewa ,wote wanaotembea nawaume za watu.
Nimeshajibu juu mimi n ke na ni mke wa mtu na maisha ni safiiiiiii sana mana nilishashtuka nikatubu [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…