KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
not even close to being possible ! next in line plz ! now whats the sympathy for ? mafisadi leo hawaongelewi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari ya kuamini mungu ndio ufisadi mkubwa kuliko wote, mafisadi wanakushika sikio na concept ya mungu ili usiwa butcher kwa hasira, halafu wanaenda kanisani na msikitini wanakuwa wazee wa kanisa na masheikh na kutoa sadaka/dhaka unawaona watu wa maana.
Binadamu kamtengeneza mungu, wala hamna mungu.
Watu wa kwanza kuleta concept ya mungu walikuwa wanasiasa, mafisadi.Kwa hiyo kama kweli unapingana na ufisadi kitu cha kwanza kujua ni kwamba hamna mungu.Ni wewe tu na akili kumkichwa.
Kweli MUNGU ni wa ajabu
Nimejaribu kuangalia upendo wake sijawahi kuoona...anawapa jua Mafisadi na wasio MAFISADI...anawapa hewa MAFISADI na wasio MAFISADI...Zaidi ya yote alionifurahisha ni kitnedo cha kuwatenga MAFISADI na WACHUKIA UFISADI....Nimejaribu kuangalia je MUNGU ANGERUHUSU WOTE TUWE MAFISADI KWENYE EPA,KIWIRA,MEREMETA NANI ANGEMHOJI MWENZIE???
Mwacheni mungu aitwe MUNGU
Hii habari ya kuamini mungu ndio ufisadi mkubwa kuliko wote, mafisadi wanakushika sikio na concept ya mungu ili usiwa butcher kwa hasira, halafu wanaenda kanisani na msikitini wanakuwa wazee wa kanisa na masheikh na kutoa sadaka/dhaka unawaona watu wa maana.
Binadamu kamtengeneza mungu, wala hamna mungu.
Watu wa kwanza kuleta concept ya mungu walikuwa wanasiasa, mafisadi.Kwa hiyo kama kweli unapingana na ufisadi kitu cha kwanza kujua ni kwamba hamna mungu.Ni wewe tu na akili kumkichwa.
Hii habari ya kuamini mungu ndio ufisadi mkubwa kuliko wote, mafisadi wanakushika sikio na concept ya mungu ili usiwa butcher kwa hasira, halafu wanaenda kanisani na msikitini wanakuwa wazee wa kanisa na masheikh na kutoa sadaka/dhaka unawaona watu wa maana.
Binadamu kamtengeneza mungu, wala hamna mungu.
Watu wa kwanza kuleta concept ya mungu walikuwa wanasiasa, mafisadi.Kwa hiyo kama kweli unapingana na ufisadi kitu cha kwanza kujua ni kwamba hamna mungu.Ni wewe tu na akili kumkichwa.
Mkuu,
Naona umepotea njia.
Mungu kuaminiwa hakuna mjadala kwetu.
Jisemee mwenyewe.