Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hivi vipi mwisho wa siku ikija kujulikana kuna siri ilifichwa
●Yaani shetani tunayemkataa na kumtuhumu kwa kila baya ndio mungu mwenyewe
●Na mungu tunayemuomba ndio shetani
Ila wajanja wa hii dunia walibadili story ili mmoja apewe promotion
N:B sina nia mbaya ila nauliza tu what if maana watu wengi tunameza tu maandiko tulioletewa bila kujudge
●Yaani shetani tunayemkataa na kumtuhumu kwa kila baya ndio mungu mwenyewe
●Na mungu tunayemuomba ndio shetani
Ila wajanja wa hii dunia walibadili story ili mmoja apewe promotion
N:B sina nia mbaya ila nauliza tu what if maana watu wengi tunameza tu maandiko tulioletewa bila kujudge