What if? Ikiwa kuna siri ilifichwa hapa

What if? Ikiwa kuna siri ilifichwa hapa

Sawa lakini kwanini nimeandika haya
Nimewaza mfano asili ya dini baadhi km LUTHERANI NI UINGEREZA.. sasa kwanini wameleta dini ya kumuabudu mungu lakini viongozi hao hao wanahamasisha USHOGA? km kuna something smell fishly
Church of England wamekataa kuozesha mashoga na huu mjadala umechukua miaka mingi mpaka kufikia maamuzi haya
Ila ni washenzi tu wanapigia promo sana
 
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hivi vipi mwisho wa siku ikija kujulikana kuna siri ilifichwa

●Yaani shetani tunayemkataa na kumtuhumu kwa kila baya ndio mungu mwenyewe

●Na mungu tunayemuomba ndio shetani

Ila wajanja wa hii dunia walibadili story ili mmoja apewe promotion

N:B sina nia mbaya ila nauliza tu what if maana watu wengi tunameza tu maandiko tulioletewa bila kujudge
Mungu Ni muumba wa mbingu na nchi itakuaje awe shetani Tena
 
Sawa lakini kwanini nimeandika haya
Nimewaza mfano asili ya dini baadhi km LUTHERANI NI UINGEREZA.. sasa kwanini wameleta dini ya kumuabudu mungu lakini viongozi hao hao wanahamasisha USHOGA? km kuna something smell fishly
Siku nyingine ili uwe na nondo za kutosha ,ukiweka bandiko unaachia na rejea kumaliza kabisa.kama hapo uliposema viongozi flani wa dini flani wamehamasisha ushoga unaweka na bandiko la hao viongozi kimaliza mjadala
 
"Kuchomwa moto milele" umeua mama yako upate utajiri baada ya kifo uende mbinguni?Unaua na kula nyama za watu ukifa uende mbinguni?Unalawiti watoto wadogo ukifa uende mbinguni?Mmegombana na mtu kidogo unamuua na kumtupa mtoni uende mbinguni?Jaman acheni utani utaenda ikiwa utatubu if not hell is where you belong na nakubaliana kabisa na hili maana dunia hii ina mafidhuli ambao hawajui utu Mungu ni mwenye haki utavuna ulichopanda ikiwa ni mema utapata raha ya milele ikiwa ni mabaya utateseka milele.
 
Kama kuna mmoja unamwomba BARAKA na anakupatia, ukikosea unaomba msamaha anakujibu msamaha wako, mwingine unapowaza kutenda uovu anakuwa nawe kwenye kuhakikisha uovu wako unatimia!!

Basi huyo wa kwanza ndiye Mungu na wapili ndiye Shetani, haijakishi kikwenu mnawaitaje.
 
Mkuu ili suala la moto halipo ni upotoshaji tu ili Mungu aonekane katili.
Tunajua kuwa Yesu alikufa kwa niaba yetu yaani alibeba kile tulichostahili au niseme HE DIED TO CANCEL THE LEGAL REQUIRMENT OF THE LAW hukumu tuliyostahili ni kifo yaani kutokupepo na si moto.
Kama adhabu ingekuwa moto na yeye Yesu alipaswa kwenda motoni ili kulipia tulichostahili lakini hakwenda ikimaanisha moto haupo.
Pia waroma 6:23 inasema: "KWA MAANA MSHAHARA AMBAO DHAMBI HULIPA NI KIFO." kwani moto umetajwa hapo..

Kwa upande mwingine shetani anatumia dini kupotosha wanadamu.
No wonder biblia inasema anaendelea kujifanya malaika wa nuru.
Safi kabisa mshahara wa dhambi ni mauti na mtu akishakufa amekufa ndio mwisho wake uo umeishia hapo hakuna cha motoni wala peponi.
 
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hivi vipi mwisho wa siku ikija kujulikana kuna siri ilifichwa

●Yaani shetani tunayemkataa na kumtuhumu kwa kila baya ndio mungu mwenyewe

●Na mungu tunayemuomba ndio shetani

Ila wajanja wa hii dunia walibadili story ili mmoja apewe promotion

N:B sina nia mbaya ila nauliza tu what if maana watu wengi tunameza tu maandiko tulioletewa bila kujudge
@Mshana Jr njoo hapa
 
Hata shetani ukimuomba kwa imani unafanikiwa sana na fahari za duniani utazienjoy balaa, watu wengi maarufu na ma tycoon duniani ni wafuasi wa shetani. Kimbembe ni maisha mapya baada ya duniani.
 
Mkuu ili suala la moto halipo ni upotoshaji tu ili Mungu aonekane katili.
Tunajua kuwa Yesu alikufa kwa niaba yetu yaani alibeba kile tulichostahili au niseme HE DIED TO CANCEL THE LEGAL REQUIRMENT OF THE LAW hukumu tuliyostahili ni kifo yaani kutokupepo na si moto.
Kama adhabu ingekuwa moto na yeye Yesu alipaswa kwenda motoni ili kulipia tulichostahili lakini hakwenda ikimaanisha moto haupo.
Pia waroma 6:23 inasema: "KWA MAANA MSHAHARA AMBAO DHAMBI HULIPA NI KIFO." kwani moto umetajwa hapo..

Kwa upande mwingine shetani anatumia dini kupotosha wanadamu.
No wonder biblia inasema anaendelea kujifanya malaika wa nuru.
Hahahah..., kwahiyo adhabu ya kile mmachokiita dhambi ni kifo na sio moto au sio? Nashangaa vile vichanga vya tumboni vina dhambi gani hadi vife kabla havijapata fursa ya kutenda dhambi
 
Back
Top Bottom