What if? Ikiwa kuna siri ilifichwa hapa

What if? Ikiwa kuna siri ilifichwa hapa

Hahahah..., kwahiyo adhabu ya kile mmachokiita dhambi ni kifo na sio moto au sio? Nashangaa vile vichanga vya tumboni vina dhambi gani hadi vife kabla havijapata fursa ya kutenda dhambi
Mkuu dhambi wanadamu wote tunayo tumerithi kutoka kwa adamu(waroma 5:12)
 
Sawa lakini kwanini nimeandika haya
Nimewaza mfano asili ya dini baadhi km LUTHERANI NI UINGEREZA.. sasa kwanini wameleta dini ya kumuabudu mungu lakini viongozi hao hao wanahamasisha USHOGA? km kuna something smell fishly
Lutheran ni german dogo acha kukurupuka
 
Unapomua kuanzisha nada kubwa kama hii..

Sharti uwe na hoja za kufikirisha vichwa vya watu vinginevyo tutasema umelewa pombe za kienyeji...

Kwa mfano useme hivyo halafu utoe mfano kwamba kwenye biblia Mungu alimtaka flani atoe mwanae kama kafara na huku kwa waganga wa kienyeji, mganga anataka utoe mtoto km kafara ya utajiri na uthibitisho wa Utii


Yaani njoo na mifano na hoja..
 
Sawa lakini kwanini nimeandika haya
Nimewaza mfano asili ya dini baadhi km LUTHERANI NI UINGEREZA.. sasa kwanini wameleta dini ya kumuabudu mungu lakini viongozi hao hao wanahamasisha USHOGA? km kuna something smell fishly
Hoja dhaifu,viongozi wanahamasisha ushoga na sio Mungu.

Dogo hii mada imekuzidi
 
Unapomua kuanzisha nada kubwa kama hii..

Sharti uwe na hoja za kufikirisha vichwa vya watu vinginevyo tutasema umelewa pombe za kienyeji...

Kwa mfano useme hivyo halafu utoe mfano kwamba kwenye biblia Mungu alimtaka flani atoe mwanae kama kafara na huku kwa waganga wa kienyeji, mganga anataka utoe mtoto km kafara ya utajiri na uthibitisho wa Utii


Yaani njoo na mifano na hoja..
Ushawai jiuliza je icho ulichopewa na wazungu na kukiweka kichwani km bible na vitabu vingine ni vya kweli? Au umechukua kama vilivyo?
 
Hata shetani ukimuomba kwa imani unafanikiwa sana na fahari za duniani utazienjoy balaa, watu wengi maarufu na ma tycoon duniani ni wafuasi wa shetani. Kimbembe ni maisha mapya baada ya duniani.
Waazilishi wa dini ndio waazilishi wa dhambi hapa duniani
 
Unapomua kuanzisha nada kubwa kama hii..

Sharti uwe na hoja za kufikirisha vichwa vya watu vinginevyo tutasema umelewa pombe za kienyeji...

Kwa mfano useme hivyo halafu utoe mfano kwamba kwenye biblia Mungu alimtaka flani atoe mwanae kama kafara na huku kwa waganga wa kienyeji, mganga anataka utoe mtoto km kafara ya utajiri na uthibitisho wa Utii


Yaani njoo na mifano na hoja..
Yeah nakubal mkuu ila somo limeeleweka
 
Sawa lakini kwanini nimeandika haya
Nimewaza mfano asili ya dini baadhi km LUTHERANI NI UINGEREZA.. sasa kwanini wameleta dini ya kumuabudu mungu lakini viongozi hao hao wanahamasisha USHOGA? km kuna something smell fishly
Asili ya Lutheran ni Uingereza ??,,,rudi darasani Jomba,,
 
What if ukute maisha yako yote yalikuwa ni ndoto tuu mara unazinduka kumbe uko chekechea kwenye desk ulikuwa umesinzia.
 
Mkuu there's plenty of evidence all around you.
Hivi ukiangalia complexities in nature unafikiri zilikujaje?? Naomba jibu..
Mkuu,

Swali zuri sana.

Hii hoja nimeijibu mara nyingi hapa, labda hujanifuatilia tu.

Hoja kwamba complexity inahitaji muumba aliye na intelligence na complexity kubwa zaidi, kwa kweli inatuonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Hoja yako inaonesha Mungu huyo hayupo na hawezi kuwepo, ingawa wewe ukiiangalia kijuu juu unaona ni hoja ya kuonesha Mungu huyo yupo.

Kwa nini nasema hivyo?

Ikiwa vitu complex vinahitaji muumba mwenye intelligence na complexity kubwa zaidi, basi inawezekana kweli kuna Mungu kaumba ulimwengu huu, lakini, hapo hapo utarudi kwenye swali, kama Mungu huyo ni intelligence na complex, na tumeshasema complexity haiwezi kuwapo bila kuumbwa na intelligence na complexity kubwa zaidi, na huyu Mungu naye atahitaji awe kaumbw ana Mungu wake mwenye complexity na intelligence zaidi, na Mungu wake huyo naye atahitaji awe ameumbwa na Mungu wake mwenye complexity na intelligence zaidi, mnyororo huo utaendelea hivyo hivyo ama katika duara ama katika mnyororo usioisha.

Na either way, hapo hakuna Mungu aliyeumba vyote, kwa sababu kila Mungu utakayemuweka atahitaji awe kaumbwa na Mungu mwingine.

Kwa hivyo, hoja ya complexity ya universe kuhitaji Mungu inakupeleka kwenye complexity ya Mungu kuhitaji Mungu wake pia, na Mungu wake kuhitaji Mungu wake pia, ad infinitum, ad nausea.

Kwa hivyo, hoja yako inaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliye muumba vyote hayupo.
 
Mkuu zaburi 93:20 inajibu:"UMEKUWAPO TANGU MILELE."
Mkuu,

Swali zuri sana.

Hii hoja nimeijibu mara nyingi hapa, labda hujanifuatilia tu.

Hoja kwamba complexity inahitaji muumba aliye na intelligence na complexity kubwa zaidi, kwa kweli inatuonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Hoja yako inaonesha Mungu huyo hayupo na hawezi kuwepo, ingawa wewe ukiiangalia kijuu juu unaona ni hoja ya kuonesha Mungu huyo yupo.

Kwa nini nasema hivyo?

Ikiwa vitu complex vinahitaji muumba mwenye intelligence na complexity kubwa zaidi, basi inawezekana kweli kuna Mungu kaumba ulimwengu huu, lakini, hapo hapo utarudi kwenye swali, kama Mungu huyo ni intelligence na complex, na tumeshasema complexity haiwezi kuwapo bila kuumbwa na intelligence na complexity kubwa zaidi, na huyu Mungu naye atahitaji awe kaumbw ana Mungu wake mwenye complexity na intelligence zaidi, na Mungu wake huyo naye atahitaji awe ameumbwa na M
 
Mkuu zaburi 93:20 inajibu:"UMEKUWAPO TANGU MILELE."
Hayo ni maandishi tu, unajuaje kwamba ni ya kweli na si hadithi za watu kudanganyana tu?

Unathibitisha vipi kwamba maandiko haya ni kweli?

Hebu soma wasomi wa Biblia walivyoichambua hapa.


How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
 
Back
Top Bottom