Sawa lakini kwanini nimeandika hayaAfanyae matendo mazuri ndomungu
Mambo ya kufikirika na wajinga wanaamini huu uongo.
, sasa wewe fanya mabaya kama Kuna Mungu anapenda wafiraji, wauwaji na Malaya
Shida watu hawaumizi vichwaWaliendelea hasa matajiri wameshagundua hiyo siri. Ukimuomba shetani unapata chapchap.
Nn mkuu? Just ufikiri tuDonga bana
Kuwachoma watu kwenye moto wa milele ni tendo jema?Afanyae matendo mazuri ndomungu anataka, sasa wewe fanya mabaya kama Kuna Mungu anapenda wafiraji, wauwaji na Malaya kupundukia
Mbna unacheka?[emoji3]
Nimependa jinsi ulivowaza bob...what if ukawa umewaza kinyume?Mbna unacheka?
Vipi walimu wataiona pepo??Afanyae matendo mazuri ndomungu anataka, sasa wewe fanya mabaya kama Kuna Mungu anapenda wafiraji, wauwaji na Malaya kupundukia
Kama unaona kuwa shetani ndio Mungu basi umwabudu uone muziki wake.Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hivi vipi mwisho wa siku ikija kujulikana kuna siri ilifichwa
●Yaani shetani tunayemkataa na kumtuhumu kwa kila baya ndio mungu mwenyewe
●Na mungu tunayemuomba ndio shetani
Ila wajanja wa hii dunia walibadili story ili mmoja apewe promotion
N:B sina nia mbaya ila nauliza tu what if maana watu wengi tunameza tu maandiko tulioletewa bila kujudge
Au yeye alivoua watu ni jambo jema.?Kuwachoma watu kwenye moto wa milele ni tendo jema?
Hakuna Mungu wala shetani, zote hizo ni hadithi za watu tu.Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hivi vipi mwisho wa siku ikija kujulikana kuna siri ilifichwa
●Yaani shetani tunayemkataa na kumtuhumu kwa kila baya ndio mungu mwenyewe
●Na mungu tunayemuomba ndio shetani
Ila wajanja wa hii dunia walibadili story ili mmoja apewe promotion
N:B sina nia mbaya ila nauliza tu what if maana watu wengi tunameza tu maandiko tulioletewa bila kujudge
Mkuu ili suala la moto halipo ni upotoshaji tu ili Mungu aonekane katili.Kuwachoma watu kwenye moto wa milele ni tendo jema?