What if New World Order becomes true?

What if New World Order becomes true?

Tunataka kuamini au hatutaki,ukweli ndio huo NWO iko tayari,na vitu kama matumizi ya card na Bar cod ni
moja ya vitu vinavyokwenda kukamilisha maandalizi ya NWO na Mpinga Kristo kutawala dunia kwa maana hivi
vinatupeleka kwenye cashless mabayo itatimiza andiko la hawatanunua wala kuuza mpaka kuwa na chap ya Mpinga Kristo

Maajabu haya....Nyinyi watu sijui nani kawaloga jamani.....
 
Naangalia kwa makini na uchunguzi yakinifu....Mada za namna hii kwann zinapendwa na Masalia(Wasabato).....?????

Hawa watu wanakwenda tena kwenye Great Disappointment ingine...

read and understand the bible ,the new world order then then the judgement day finally the last war
 
Hii inaonyesha ni kiasi gani mambo yatawakuta watu kwa mshangao na huku wakiona mipango ikinafanywa na kutekelezwa machoni pao. Wale ambao hawayajui mambo haya hebu someni Ufunuo 13 na 14. Pia tafuta vitabu vifuatavyo 1. One World Ready of Not, 2. When the Word Will be as One, 3. Aquarian Conspiracy. Pia jitahidi kuelewa makusudi ya mashirika ya kimataifa yanayofanya kazi uvunguni kama "COuncil on Foreign Relations, Club of Rome, na The Bilderburges, Trilateral Commissio etc" makusudi yao ni nini.
Utakuwa kama mtu anatoka usingizini. Lakini ujue yale aliyoyasema Yesu kwenye Mathayo 24, Luka 21 hayataanguka.
Jiandae kukutana na Mungu wako. Kuna ile hali ya washirika wa makundi haya kupotosha watu kwa kusema, unaota au
hayo ni "conspiracy theory" wakati wakiendelea kuimarisha mipango yao. Amka mtanzania tafuta uwokovu wako.
 
Hii inaonyesha ni kiasi gani mambo yatawakuta watu kwa mshangao na huku wakiona mipango ikifanywa na kutekelezwa machoni pao. Wale ambao hawayajui mambo haya hebu someni Ufunuo 13 na 14. Pia tafuta vitabu vifuatavyo 1. One World Ready of Not, 2. When the Word Will be as One, 3. Aquarian Conspiracy. Pia jitahidi kuelewa makusudi ya mashirika ya kimataifa yanayofanya kazi uvunguni kama "COuncil on Foreign Relations, Club of Rome, na The Bilderburges, Trilateral Commission etc" makusudi yao ni nini.
Utakuwa kama mtu anatoka usingizini. Lakini ujue yale aliyoyasema Yesu kwenye Mathayo 24, Luka 21 hayataanguka.
Jiandae kukutana na Mungu wako. Kuna ile hali ya washirika wa makundi haya kupotosha watu kwa kusema, unaota au
hayo ni "conspiracy theory" wakati wakiendelea kuimarisha mipango yao. Amka mtanzania tafuta uwokovu wako.
 
its on process


Mkuu hatuko ktk mchakato! Tuko ktk utekerezaji! Yuko wp Sadam? Yuko wp Gadaf? Osama? Mubarak? KWELI hii ni unezaji Wa demokrasia? Au ni kuangusha tawala zisizo kubali matakwa Yao?

Asad Wa Syria anakosa gani?

Nani Yuko nyuma ya yote haya? Je ni USA? Roma?
 
Picha gani wewe zuzu....Endelea kuishi kama panya shimoni huku ukiwaza yasiyotekelezeka....

ujinga wako haunipotezei chochote MWENYE MACHO NA AONE sio lazima kuamini hivyo achana na hii mada na fata yanayotekelezeka AM NOT YOUR TEACHER
 
Mkuu hatuko ktk mchakato! Tuko ktk utekerezaji! Yuko wp Sadam? Yuko wp Gadaf? Osama? Mubarak? KWELI hii ni unezaji Wa demokrasia? Au ni kuangusha tawala zisizo kubali matakwa Yao?

Asad Wa Syria anakosa gani?

Nani Yuko nyuma ya yote haya? Je ni USA? Roma?

ROMA na papacy ndo highest rank papa francisco ndo mtawala wa falme hii ya sita,USA ni ma agent na wameanza tumia 666 BARCODE since last year june
 
ROMA na papacy ndo highest rank papa francisco ndo mtawala wa falme hii ya sita,USA ni ma agent na wameanza tumia 666 BARCODE since last year june



Nayaelewa haya soon nikitulia ntachangia Vzr kimaandiko Zaidi!

Muache Huyo tedo abishe weeee lkn ukweli ndio huo!

Pamoja Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Niko poa Ntuzu! How about you?
Umepotea sana kiongozi!!!
Hii World Oder inasukumwa Na nani ktk Huu ulimwengu? Maana unaweza ukasikia new world Oder, Mara Freemasons etc.
Mkuu nimesearch google na kujiridhisha NWO ni mpango wa Freemansons ingawa hilo neno lina historia ndefu! Embu husisha ile dream ya Sir Adolf!
Je Hawa ni Watu tofauti au ni KITU kimoja wanaojaribu kutudanganya?
Ntuzu NWO ni agenda ya institutions tofauti tofauti!
Na zote ni powerfull institutions!
  • Freemansons under the umbrella of U.S.A! Wamarekani wanajifanya kusimamia haki za binadamu na kupinga ugaidi! Ivi unajua kwanini zile nchi za kiarabu zinashukiwa ugaidi?
  • Powerfull states under the umbrella of UN! Lengo kuu la UNO ilikuwa ni kutuliza amani ya dunia [dunia = white races] but for now na kwa sera za siri za U.S.A [Freemansons] wanataka kuitawala dunia! Hata hivyo kuna kusalitiana kutokana na kutoaminiana!
  • Hidden agenda ya USSR kuhusu SOCIALISM! Hawa jamaa bado wanaamini the highest stage of development ni Socialism!
    Bado wanaamini matheory ya Karl Marx! Hata hivyo hawakubali kuburuzwa na U.S.A!
  • Religion institution especially Christian!
    Nadhani unaona usanii unaotendeka ktk hiyo dini! Nakubali wapo christian wengi wa ukweli but na Mafreemansons wanaitumia hiyo dini kuhakikisha matakwa yao yanatimia!

    Nadhani unaona madhehebu yanavyoongezeka! Unaona miujiza inavyozidi na hata clear signs za mafreemanson umeziona zinavyotumika makanisani!
  • Hata taasisi za hela zinatumika, WB, IMF na Paris Bank! Wanatumia loans and aid kuhakikisha wanapitisha sera zao! Wanachokifanya kwanza ni kuharibu maadili! Kumbuka Ndoa za jinsia moja alafu niambie zinamausiano gani na mikopo au misaada kwa nchi masikini, mkumbuke na Museven!
...
For somehow wameanza kufanikiwa but kuna vikwazo vingi sana vinavyowafanya wasitimize ndoto zao!
Wanataka Serikali 1!
Pesa 1
Wanataka kupunguza population! Hili wanafanikiwa kidogo (kumbuka bidhaa zao kama soda) but kwa idadi ya watu wanaotaka wao hawawezi kuipata!
Tuwafahamu kwanza hao then ITAKUA rahisi kuwapata ktk MAANDIKO!
Ningeona kwenye bibleni vipi wameliongelea hili, ingekua poa sana!
 
Last edited by a moderator:
Nayaelewa haya soon nikitulia ntachangia Vzr kimaandiko Zaidi!

Muache Huyo tedo abishe weeee lkn ukweli ndio huo!

Pamoja Mkuu!

asante sana
 
Last edited by a moderator:
ROMA na papacy ndo highest rank papa francisco ndo mtawala wa falme hii ya sita,USA ni ma agent na wameanza tumia 666 BARCODE since last year june

Ha ha ha ha....Ndio maana nimesema mada kama hivi utakuta vijukuu vya kahaba la Kimarekani Hellen G White ndio wanajadili...

Sasa nyie masalia mnatuletea utumbo wenu wa lessoni huku JF kww myths zisizo na msingi....

What a fool..
 
Mkuu hatuko ktk mchakato! Tuko ktk utekerezaji! Yuko wp Sadam? Yuko wp Gadaf? Osama? Mubarak? KWELI hii ni unezaji Wa demokrasia? Au ni kuangusha tawala zisizo kubali matakwa Yao?

Asad Wa Syria anakosa gani?

Nani Yuko nyuma ya yote haya? Je ni USA? Roma?

Haujaona makosa yao ehh...????

We mjukuu wa Kahaba Hellen G White hebu wacha kuleta porojo za Lesson huku .....

Kwahiyo Osama hakuwa na kosa? Hata kiongozi wa Boko haramu leo hii akiuawa pia iakuwa ni mpango wa Roma.....Maana huoni kosa lao ehhh....
Seventh day Adeventist is the cult religion.........You are not fit at all to be Christians.....
 
Nayaelewa haya soon nikitulia ntachangia Vzr kimaandiko Zaidi!

Muache Huyo tedo abishe weeee lkn ukweli ndio huo!

Pamoja Mkuu!

Ukweli gani we mpu.mba vu ......Aliokuambia kwamba huo upuuzi unaouita ukweli kwako na ukweli kwa wote ni nani.....??????

Hakika Wasabato mmelaniwa mbinguni na Duniani....

Nafikiri hiyo General Conference itakayo kaa mwakani na kufanya Reformation ya kaanisa lenu (cult) pia injinia wa hiyo GC ni Roma ehhh....???

Endelea kuruka ruka na ngonjera zako za lesson ambazo zimewapumbaza akili zenu nyie wafuasi wa Kahaba..

Baada ya reformation hiyo nasikia utaanzisha dhehebu lako (Another cult) litakalo julikana kama Sabato Marekebisho maana freemason watakuwa wamevamia SDA(cult) ya Marekani.......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom