Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Tunataka kuamini au hatutaki,ukweli ndio huo NWO iko tayari,na vitu kama matumizi ya card na Bar cod ni
moja ya vitu vinavyokwenda kukamilisha maandalizi ya NWO na Mpinga Kristo kutawala dunia kwa maana hivi
vinatupeleka kwenye cashless mabayo itatimiza andiko la hawatanunua wala kuuza mpaka kuwa na chap ya Mpinga Kristo
Naangalia kwa makini na uchunguzi yakinifu....Mada za namna hii kwann zinapendwa na Masalia(Wasabato).....?????
Hawa watu wanakwenda tena kwenye Great Disappointment ingine...
Maajabu haya....Nyinyi watu sijui nani kawaloga jamani.....
has come not is coming.
Basi Freemanson wameota na mleta mada anaweweseka!
elimu yako unashindwa kuona hata picha
its on process
Picha gani wewe zuzu....Endelea kuishi kama panya shimoni huku ukiwaza yasiyotekelezeka....
Mkuu hatuko ktk mchakato! Tuko ktk utekerezaji! Yuko wp Sadam? Yuko wp Gadaf? Osama? Mubarak? KWELI hii ni unezaji Wa demokrasia? Au ni kuangusha tawala zisizo kubali matakwa Yao?
Asad Wa Syria anakosa gani?
Nani Yuko nyuma ya yote haya? Je ni USA? Roma?
ROMA na papacy ndo highest rank papa francisco ndo mtawala wa falme hii ya sita,USA ni ma agent na wameanza tumia 666 BARCODE since last year june
Niko poa Ntuzu! How about you?Mashaxizo vp Mkuu?
Mkuu nimesearch google na kujiridhisha NWO ni mpango wa Freemansons ingawa hilo neno lina historia ndefu! Embu husisha ile dream ya Sir Adolf!Hii World Oder inasukumwa Na nani ktk Huu ulimwengu? Maana unaweza ukasikia new world Oder, Mara Freemasons etc.
Ntuzu NWO ni agenda ya institutions tofauti tofauti!Je Hawa ni Watu tofauti au ni KITU kimoja wanaojaribu kutudanganya?
Ningeona kwenye bibleni vipi wameliongelea hili, ingekua poa sana!Tuwafahamu kwanza hao then ITAKUA rahisi kuwapata ktk MAANDIKO!
Ok Charminglady, ukinisaidia hizo sura itakua poa sana!
ROMA na papacy ndo highest rank papa francisco ndo mtawala wa falme hii ya sita,USA ni ma agent na wameanza tumia 666 BARCODE since last year june
Mkuu hatuko ktk mchakato! Tuko ktk utekerezaji! Yuko wp Sadam? Yuko wp Gadaf? Osama? Mubarak? KWELI hii ni unezaji Wa demokrasia? Au ni kuangusha tawala zisizo kubali matakwa Yao?
Asad Wa Syria anakosa gani?
Nani Yuko nyuma ya yote haya? Je ni USA? Roma?
nipe dakika nakuja
Nayaelewa haya soon nikitulia ntachangia Vzr kimaandiko Zaidi!
Muache Huyo tedo abishe weeee lkn ukweli ndio huo!
Pamoja Mkuu!