What if New World Order becomes true?



Sio freemason ni UROMA WA KIPAGANI NDIO UNAOFANYA KZ KWA KUJIFUCHA YA PAZI YA MAWAKALA WAO.

Wewe ubishe ukatae lkn huo ndio ukweli!
 

Wao wapo tangu enzi za utawala wa Mfalme Suleimani walishindwa kutimiza ndoto kipindi hicho wakati sehemu kubwa ya dunia ilikuwa giza leo au kesho hawataweza watabaki ba ndoto tu hafu wewe mleta mada utaendelea kuweweseka.
 


Niambie KOSA la Sadamu Hussein? Niambie kosa la Asad Wa Syria? Niambie kosa la Gadaffi?

Wewe kipofu NA ktk vita vyote hivyo uliwahi kumsikia Huyo kingozi wako PAPA AKIWAKEMEA WAMAREKANI AU KUWAZUIA WASIZISHAMBULIE HIZO INCHI KM MPENDA AMANI? au alipotezea tu ili huo mpango WAO upate nafasi ya kupenya kwa Watu wabishi?
 
Ha ha ha ha....Ndio maana nimesema mada kama hivi utakuta vijukuu vya kahaba la Kimarekani Hellen G White ndio wanajadili...

Sasa nyie masalia mnatuletea utumbo wenu wa lessoni huku JF kww myths zisizo na msingi....

What a fool..

uwezo wako wa kufikiri ni mdogo
 

upeo wako ni mdogo
 

kuna falme ngapi duniani?tuanzie hapo.



kutokuelewa kwako haimaanishi wengine ni wapumbavu.

bila muuri wa sabato NOO HEAVEN.
 
Sio freemason ni UROMA WA KIPAGANI NDIO UNAOFANYA KZ KWA KUJIFUCHA YA PAZI YA MAWAKALA WAO.

Wewe ubishe ukatae lkn huo ndio ukweli!

Kwi kwi kwi kwi......Mchungaji mtarajiwa wa dhehebu la Sabato Marekebisho Ntuzu.......

Hebu mfufueni bana kahaba wenu maarufu Hellen G White kutoka kuzimu aje alinusuru dhehebu lake (cult) maana linakwenda kuangamia...

Yetu macho.....
 
Last edited by a moderator:
kuna falme ngapi duniani?tuanzie hapo.



kutokuelewa kwako haimaanishi wengine ni wapumbavu.

bila muuri wa sabato NOO HEAVEN.

Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!!!

You guys are very funny......Mjukuu wa Kahaba hebu niambie umejiandaaje na reformation ijayo...???

Hamkomi na Great Disappoint ehh.....

The Seventh Day Adventist ni cult Religion on Earth........pamoja na ndugu zenu katika kuzimu Mormon na Jehova Witness...
 
Hizi mada za Lesson za dhehebu la kihuni duniani (SDA cult) zinatakiwa zipigwe marufuku hapa JF wakazijadili huko huko kwenye hayo makanisa yao yaliyolaaniwa...
 
Ulitaka akamee we zuzu wa Kahaba Hellen G White ili Wasabato (cult) mfurahi...??

Juha kabisa wewe.......Hivi nyie cult wa Kahaba Hellena nani kawaloga...??

unaijua 666
 
unaijua 666

Kwa mujibu wa nani...???

Ninavyoijua mm nitofauti na wewe unavyoifahamu...

Nijibu swali langu umejiaandaje na Reformation inayokuja we mlaaniwa...

Jehova witness
Seventh Day Adventist
Mormon..................Are cult religion
 
Hizi mada za Lesson za dhehebu la kihuni duniani (SDA cult) zinatakiwa zipigwe marufuku hapa JF wakazijadili huko huko kwenye hayo makanisa yao yaliyolaaniwa...

dhehebu lipi sio la kihuni nakwanini?


kwanini zipigwe marafuku imani za watu wengine?kwanini jf?


yamelaaniwa na nani au nini ?au ni wewe?

we ni nani utoe hukumu kwa mwingine ?


elimu yako
 
Kwa mujibu wa nani...???

Ninavyoijua mm nitofauti na wewe unavyoifahamu...

Nijibu swali langu umejiaandaje na Reformation inayokuja we mlaaniwa...

Jehova witness
Seventh Day Adventist
Mormon..................Are cult religion

umejibu wapi unaijua 666?


nijiandae na nini?wakati nipo vitani.

mlaaniwa ni mtu wa aina gani?


let it be cult because your nobody to JUDGE
 
dhehebu lipi sio la kihuni nakwanini?


kwanini zipigwe marafuku imani za watu wengine?kwanini jf?


yamelaaniwa na nani au nini ?au ni wewe?

we ni nani utoe hukumu kwa mwingine ?


elimu yako


Kufalazima Huyo tedo anaweza kufanya mtu akachangia Hoja akapigwa Ban!

Niseme tu MUNGU atakuja kumlipa ujira wake!
 
Kufalazima Huyo tedo anaweza kufanya mtu akachangia Hoja akapigwa Ban!

Niseme tu MUNGU atakuja kumlipa ujira wake!

mkuu ni thinky hapa hana shida ni uelewa mdogo tu unasumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…