What Is Satellite Internet?

What Is Satellite Internet?

Kuna washenzi fulani wanaitwa Konnect nao wanatoa internet via SAT, installation kit yao eti ni 1.6 mil hivi TZS...

Halafu bundle ya bei chee ni 60k, with 20Mbps, guaranteed unlimited speed for first 5GB, then wanashusha hadi 1Mbps ukimaliza 5GB za mwanzo...jamaa wanachekesha kweli hawa
Wahuni hawa wanatakiwa wabadiri majina wasiite satellite internet bali waite mashirika yanayotoa huduma ya internet nje ya makampuni ya simu kama vodacom, hawa jamaa hawana satellite wala hawatumii satellite kutupa internet wanatumia minala kama ya voda na tigo, ila kwa ujinga wetu wanatudanganya ili watupige pesa.

Tanzania hakuna mwenye uwezo wa kuafford bei ya internet kupitia satellite, maana satellite moja tu haitoshi kutoa huduma kwa zaidi ya kilometa 300, je watatumia satellite ngapi kutoa huduma kwa hao few separated customers nchi nzima, maana kila satellite inapomove away kutoka kwako hapa ground hata frequencies strength za network zinapungua na kufanya mtandao wako kushuka, hivyo italazimka kila mkoa ama wilaya iwe na satellite yake isiyo move ili kuzuia mawimbi kuyumba[emoji23].

Je mtaweza bei ya kusimamosha satellite ya mabilion isizunguke nje ya eneo lenu kisa internet mnayolipa haifiki hata robo ya kurusha satellite angani?[emoji23]

Tunapigwaa kijanja.

Nasisi watanzania tusome tuwe tunawapiga hela wazungu kupitia Heaven internet tuwadanganye inatoka peponi[emoji16]
 
Kiufupi tu hakuna kitu inaitwa satellite internet, bali kuna huduma ya kufungiwa wife na kifaa ambacho kinakupa huduma kwako ambacho nacho kinapata mawasiliano kutoka kwa mawakala wa mitandao kama Vodacom ambao hawa wana minara ya simu kila mahala.

Hawa jamaa wanatudanganya sana, hizo satellite internet Hazitumiki na indivudual customers, hizo mala nyingi hutumiwa na jeshi ama taasisi za kiserikali ambazo hufanya mawasiliano ya siri ama taasisi ambazo hazitaki kushare njia moja ya mawasiliano na public users.

Ngumu kujua haya mambo lkn ndio ukweli huu, kibongo bongo na afrika hatuna mwenye ubabe wa kumiliki frequencies za satellite kwaajili ya internet tu, ili ufanye mawasiliano/huduma ya internet kupitia satellite itamlazimu mtoa huduma ama mmiliki asimamishe baadhi ya satellite zake zisizunguke mahala tofauti na nchi yako ama eneo lako ili kuondoa tatizo la mawimbi kukwama, maana ili upate mawimbi ya satellite ni lazima muwe ktk the same position/motion ili kuzuia mawimbi kukwama hivyo itailazimu satellite isizunguke nje ya eneo lako.

Huu ndio ukweli hutokaa uujuwe na ndio upigaji wa huyo jamaa elon musk, hakuna kitu inaitwa satellite internet, hata Tv na madishi ya TV yanapata mawasiliano kutoka kwenye minara ya watoa huduma mfano Azam, Dstv the same thing kwa Google map/GPS ambazo zinafanya kazi ukiwa connected na internet yenye mawasiliano kutoka katika minala ya mtoa huduma(voda, tigo nk)

Africa kama sio dunia nzima hakuna individual communication through the satellite, nawafumbua macho na masikio watanzania wenzangu tusipigwe tena[emoji23]
Haujui kitu kaa kimya tu
 
Hao ni kausha damu bora hata vodacom supakasi wako fresh sana
VSAT solution nimkausha damu kwa watanzania masikini.....kwqnza kwa nini niweke VSAT techimepitwa wakatibsanaaa gharama kubwa bila lazimaa....tuache watanzania na bundle zetu ....Vodacom Kasi....Modem Wi-Fi za Telecom......VSAT acha jeshini huko mbugani na zingine kwenye broadcasting TV na FM Radio......
 
Hivi ukinunua vifaa ulafunga haviwezi fanya kazi haswa kwa nchi yetu ukiwa kwenye wilaya kama ngara
1. Kufanya kazi itafanya kazi.
Ila sasa,changamoto(badhi ni kama hizi)
-Huwezi kupewa vifaa tu kwa hizo gharama bila fundi,kwa sababu ya matumizi(na hapo ujue kwa lolote linaloweza kutokea kwa matumizi tofauti na lengo,wenyewe ndo wahanga wa matumizi mabaya yako)
-Hawatoi vifaa bila kufanya survey
-Nahisi kuna vitu tofauti vinaangaliwa kwenye mitambo ya telecommunications. Hivyo,hakika kuna maelekezo ya kufunga hivyo vifaa kutoka wizara ya mawasiliano.
 
1. Kufanya kazi itafanya kazi.
Ila sasa,changamoto(badhi ni kama hizi)
-Huwezi kupewa vifaa tu kwa hizo gharama bila fundi,kwa sababu ya matumizi(na hapo ujue kwa lolote linaloweza kutokea kwa matumizi tofauti na lengo,wenyewe ndo wahanga wa matumizi mabaya yako)
-Hawatoi vifaa bila kufanya survey
-Nahisi kuna vitu tofauti vinaangaliwa kwenye mitambo ya telecommunications. Hivyo,hakika kuna maelekezo ya kufunga hivyo vifaa kutoka wizara ya mawasiliano.
Kumbe ni kimbembe tena kutoka wizarani mbaya zaidi waziri mwenyewe alishawakataa hawa jamaa
 
Kumbe ni kimbembe tena kutoka wizarani mbaya zaidi waziri mwenyewe alishawakataa hawa jamaa
Hapo sasa.
Kwenye mambo ya Internet kama hayo, kumbuka pia kuna wengine wanarun business zao,kwa hiyo akija mpinzani,wa bei ndogo,wa uhakika, hao hawana kazi. Wataenda wapi? Ukute na wenyewe hutoa mafungu ya 10. Sasa nani akubali wakati anajua anaharibu deal!
 
Hapo sasa.
Kwenye mambo ya Internet kama hayo, kumbuka pia kuna wengine wanarun business zao,kwa hiyo akija mpinzani,wa bei ndogo,wa uhakika, hao hawana kazi. Wataenda wapi? Ukute na wenyewe hutoa mafungu ya 10. Sasa nani akubali wakati anajua anaharibu deal!
Nimekusoma mkuu
 
Back
Top Bottom