What Is Satellite Internet?

Wahuni hawa wanatakiwa wabadiri majina wasiite satellite internet bali waite mashirika yanayotoa huduma ya internet nje ya makampuni ya simu kama vodacom, hawa jamaa hawana satellite wala hawatumii satellite kutupa internet wanatumia minala kama ya voda na tigo, ila kwa ujinga wetu wanatudanganya ili watupige pesa.

Tanzania hakuna mwenye uwezo wa kuafford bei ya internet kupitia satellite, maana satellite moja tu haitoshi kutoa huduma kwa zaidi ya kilometa 300, je watatumia satellite ngapi kutoa huduma kwa hao few separated customers nchi nzima, maana kila satellite inapomove away kutoka kwako hapa ground hata frequencies strength za network zinapungua na kufanya mtandao wako kushuka, hivyo italazimka kila mkoa ama wilaya iwe na satellite yake isiyo move ili kuzuia mawimbi kuyumba[emoji23].

Je mtaweza bei ya kusimamosha satellite ya mabilion isizunguke nje ya eneo lenu kisa internet mnayolipa haifiki hata robo ya kurusha satellite angani?[emoji23]

Tunapigwaa kijanja.

Nasisi watanzania tusome tuwe tunawapiga hela wazungu kupitia Heaven internet tuwadanganye inatoka peponi[emoji16]
 
Haujui kitu kaa kimya tu
 
Hao ni kausha damu bora hata vodacom supakasi wako fresh sana
VSAT solution nimkausha damu kwa watanzania masikini.....kwqnza kwa nini niweke VSAT techimepitwa wakatibsanaaa gharama kubwa bila lazimaa....tuache watanzania na bundle zetu ....Vodacom Kasi....Modem Wi-Fi za Telecom......VSAT acha jeshini huko mbugani na zingine kwenye broadcasting TV na FM Radio......
 
Hivi ukinunua vifaa ulafunga haviwezi fanya kazi haswa kwa nchi yetu ukiwa kwenye wilaya kama ngara
1. Kufanya kazi itafanya kazi.
Ila sasa,changamoto(badhi ni kama hizi)
-Huwezi kupewa vifaa tu kwa hizo gharama bila fundi,kwa sababu ya matumizi(na hapo ujue kwa lolote linaloweza kutokea kwa matumizi tofauti na lengo,wenyewe ndo wahanga wa matumizi mabaya yako)
-Hawatoi vifaa bila kufanya survey
-Nahisi kuna vitu tofauti vinaangaliwa kwenye mitambo ya telecommunications. Hivyo,hakika kuna maelekezo ya kufunga hivyo vifaa kutoka wizara ya mawasiliano.
 
Kumbe ni kimbembe tena kutoka wizarani mbaya zaidi waziri mwenyewe alishawakataa hawa jamaa
 
Kumbe ni kimbembe tena kutoka wizarani mbaya zaidi waziri mwenyewe alishawakataa hawa jamaa
Hapo sasa.
Kwenye mambo ya Internet kama hayo, kumbuka pia kuna wengine wanarun business zao,kwa hiyo akija mpinzani,wa bei ndogo,wa uhakika, hao hawana kazi. Wataenda wapi? Ukute na wenyewe hutoa mafungu ya 10. Sasa nani akubali wakati anajua anaharibu deal!
 
Nimekusoma mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…