Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka Sana hii commentUwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ndio uongo mkubwa kabisa niliowahi kusoma JF.
Ni kweli lakini. Hakutatokea uongo zaidi ya huo kwa miaka mingi ijayo.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka Sana hii comment
Usikute atakua Argentina ya pale manzeseHahaha.....
Mbele nako kuna muda mambo yanabana...ila kazingua maana mbele hata ya Asia elfu 5000 hununui mkate na coke 2l.
Mimi sikumbuki lakini nahisi nilishawahi kukudanganyaHivi wewe haujawahi kunidanganya....nadhani mimi nimewahi kukudanganya
[emoji23][emoji23][emoji23] jtatu ukitoka Emergency Department au internal medicine njoo CPL nikupeleke Villa Cafeteria uonane na muongo mwenzio..Kuna yule mmoja aliniambia PM baba yake ni Ridhiwan Kikwete kwa hiyo nisiwe na shida kwenye suala la pesa
Akasema atakuwa ananipa 300K kila siku kama nitakubali kuwa nae
Badae nikaja kujua ni kapuku mwenzangu anasoma zake hapa MUHAS
Nakuja PMNidanganye
Kumbe nimewahi kukudanganya eeh😂😂Mkuu ulishawahi kuniambia una chura sio wa nchi hii...nadhani sikudanganywa maana sidanganyiki.
Nimeacha asee.. mwaka Sasa umepita. Siusemi maana sitapendi kumuumiza zaidi.Haujaacha....ungekuwa umeacha usingeogopa kuuandika.
Inaonekana kuna kadada kamoja bado unakaongopea.