Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Tuachane na kizungu maana wengi tutashindwa kujieleza.....
JF watu tunafanganya saana....wengine huenda mbali na kuvaa uhusika usio wao hasa PM....
Utakuta mtu anamuimbisha mdada PM atamtajia vyeo na mafanikio yote hadi vyeo vyote vitaisha.
Waafrika utaratibu wa kufunguka huwa hatuna ila leo mtajaribu.
Ni uongo gani ulishawahi kuutoa hapa JF hadi mwenyewe ukajiambia kweli hapa nimepitisha mipaka ya udanganyifu.
Kuna uongo ambao hadi unamuuma mwoongo mwenyewe.
Mimi uongo wangu mkubwa hapa JF....ni niliwahi kutoa utambulisho wa uongo kwa dada yangu mmoja ila baadae nikaona aibu nika-confence.
Jukwaani alidhani tunakaribiana kiumri kuja kumuuliza mwenzangu anatofautiana miaka mitatu na mama yangu. Ikabidi nami nikiongeze kiaina umri na kumtumia picha ya jirani yangu ambaye ni mzee.
Sasa siku nakaribishwa kwake nikawa namzungusha wee hadi nikaja kuusema ukweli....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]JF kuna watu wazima hata wewe mwenye 45 yako unajiona mzima ila kuna watu wazima zaidi yako.
JF watu tunafanganya saana....wengine huenda mbali na kuvaa uhusika usio wao hasa PM....
Utakuta mtu anamuimbisha mdada PM atamtajia vyeo na mafanikio yote hadi vyeo vyote vitaisha.
Waafrika utaratibu wa kufunguka huwa hatuna ila leo mtajaribu.
Ni uongo gani ulishawahi kuutoa hapa JF hadi mwenyewe ukajiambia kweli hapa nimepitisha mipaka ya udanganyifu.
Kuna uongo ambao hadi unamuuma mwoongo mwenyewe.
Mimi uongo wangu mkubwa hapa JF....ni niliwahi kutoa utambulisho wa uongo kwa dada yangu mmoja ila baadae nikaona aibu nika-confence.
Jukwaani alidhani tunakaribiana kiumri kuja kumuuliza mwenzangu anatofautiana miaka mitatu na mama yangu. Ikabidi nami nikiongeze kiaina umri na kumtumia picha ya jirani yangu ambaye ni mzee.
Sasa siku nakaribishwa kwake nikawa namzungusha wee hadi nikaja kuusema ukweli....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]JF kuna watu wazima hata wewe mwenye 45 yako unajiona mzima ila kuna watu wazima zaidi yako.