What is this ? Mo Jay??!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanaume unaenda kwenye ugomvi na kichwa cha kuku huku umeshikilia simu unabweka tuuuu mbele huendi unarudi nyuma nje ya ukuta[emoji1787][emoji1787]
 
hajui kwamba huwezi kushindana na mwanamke kuongea na ugomvi wa wanawake hutakiwi kuingilia
Giggy anajiliza huku kapaka make-up na kope za bandia watafack sijaelewa unazungumzia nini hizo ni Drama na Giggy ni mmoja wa Drama Queen anaejulikana na kila mtu hata yeye ameshasema mbele ya camera mara kadhaa kua amekua akifanya Drama, aendelee na kufanya Drama
 
Somo liende kwa pisikali wanaohaha na mahandisome kwenye korido za kuchakatana.

Giggy kayavagaa na yanampalia haswaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…