What is this ? Mo Jay??!

What is this ? Mo Jay??!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanaume unaenda kwenye ugomvi na kichwa cha kuku huku umeshikilia simu unabweka tuuuu mbele huendi unarudi nyuma nje ya ukuta[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni mchokoziii sanaa. Huyo kazidi hadi mkorogo wa mafungu, namuweza wapiii lol
Mo jay ndy nani?ni msanii au

Aise katuangusha sana wanaume
UtAmpelekaje mwanamke polisi

Ova
 
Drama parents hao [emoji23]

Kwahiyo Mo J kamfata Gigy kwake ni anataka kumpora mtoto? Huyo Mo ni mwehu. Kuna ICU ya week flan ktk mwezi uliopita nadhani inasemekana Mo kampiga mtoto mdogo wa mwaka na points hivi kama sijasahau. Gigy kma kawaida akaingia kwenye familia yake Insta Live akanza kuongea kuhusu ile issue kisa ye kazaa nae.

Huyo chalii ana mashtaka police,, bado hakomi anaenda kusaka mapya [emoji119]
Kwahiyo yeye anazalisha hatunzi watoto,anatunza ndevu
 
Mo jay ndy nani?ni msanii au

Aise katuangusha sana wanaume
UtAmpelekaje mwanamke polisi

Ova
Mo jay kazaa na giggy, ni presenter hapo Clouds, malavidavi, ni slay boy wa town tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Me wanauwezo wakuzalisha,kukojoza ila bado si WANAUME. Japo Gigy ni Chizi ila hakutakiwa kumfanyia hivi mzazi mwenzake,tena mbele ya mtoto wake.Hajui alicho kifanya ni sawa ya kuupiga muhuri wa moto wa chuki kwa huyo mtoto alieye mzaa,ambao hauto futika. Halafu kesho atasema amelishwa sumu na mama yake, wakati kafanya ukatili mbele ya mtoto wake tena unao muhusu mama yake mzazi.

Najua ni nguvu ushawishi ya mkewe wa sasa na si yy wenyewe, kwani ameshindwa kusimama kwenye nafasi yake kama mwanaume. Yaani jamaa ni bonge moja la fala, hajui kwamba huwezi kushindana na mwanamke kuongea na ugomvi wa wanawake hutakiwi kuingilia, sasa ona mwanae mwenyewe wa kumzaa anamwona katili.


Kunywa supu ya kuku mkuu
Nakuja kulipa😍😍
 
Kwahiyo yeye anazalisha hatunzi watoto,anatunza ndevu
Watu mna maneno
Mm nafikiri gigy aliweka matarajio makubwa kuzaa na mo jay tofaut na uhalisia wa mwanaume sio mlezi mzuri kama alivotarajia ilo ndo linamtesa kunawatoto wengi hawahudumiw na babazao na mama wanapambana hamna kesi Wala ugomvi

Pia mwanaume kakosea kumjibu na kumtukana mzazi mwenzie na kumdhalilisha na mke wa jamaa ni mpumbavu mno
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
[emoji1787][emoji1787] eti alienda kugombana nae anachukua video na yeye anamchukua video [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hakuweza kumkaribia opponent na hata video yenyewe ya ugomvi imetoka kwenye simu ya opponent[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bora hata yule mwanamke na mtoto mchanga kamkaribia opponent kwa ukaribu wa 0_distance!
View attachment 2564760
 
[emoji1787][emoji1787] eti alienda kugombana nae anachukua video na yeye anamchukua video [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hakuweza kumkaribia opponent na hata video yenyewe ya ugomvi imetoka kwenye simu ya opponent[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bora hata yule mwanamke na mtoto mchanga kamkaribia opponent kwa ukaribu wa 0_distance!
View attachment 2564760
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee jaman
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee jaman
Pale hamna mtu! Alafu mzuri kuliko huyo gigi mane[emoji2960] hata huyo mwanamke mwingine nae kapitwa uzuri na huyo jamaa[emoji16]


Picha la ajabu sana wallah! Hivi hiyo team aliyo izoa na kuikusanya kwenye kile kichwa cha kuku ndio imeenda kuishia nje ya geti!!!? Aibu sana mimi nisinge kubali kuonekana kwenye kamera yoyote ni aibu sana
 
Mo Jay is just another fag boy in town. A real tough man always go mano-o-mano with another man.
 
Alafu baadae kuna watu wataenda kwenye kipindi chake kuomba ushauri wa mahusiano. Teh! Teh! Teh!
 
Kumbe mwanamke ndo anahaki ya kumchamba mwanaume na asiamue chchte naanen yan aambiwe kuwa alikuwa anaweka MTO kweny kiuno afu anambinjua unahis Hugo mtot nayy anatunzwa VIP
 
Kuna Me wanauwezo wakuzalisha,kukojoza ila bado si WANAUME. Japo Gigy ni Chizi ila hakutakiwa kumfanyia hivi mzazi mwenzake,tena mbele ya mtoto wake.Hajui alicho kifanya ni sawa ya kuupiga muhuri wa moto wa chuki kwa huyo mtoto alieye mzaa,ambao hauto futika. Halafu kesho atasema amelishwa sumu na mama yake, wakati kafanya ukatili mbele ya mtoto wake tena unao muhusu mama yake mzazi.

Najua ni nguvu ushawishi ya mkewe wa sasa na si yy wenyewe, kwani ameshindwa kusimama kwenye nafasi yake kama mwanaume. Yaani jamaa ni bonge moja la fala, hajui kwamba huwezi kushindana na mwanamke kuongea na ugomvi wa wanawake hutakiwi kuingilia, sasa ona mwanae mwenyewe wa kumzaa anamwona katili.

Yes kijamaa kitakua kinalishwa na uyo demu
 
Kuna siku nasearch RFA bolingo time, nikasikia huyu jamaa anaongea clouds, asalalee, anabana pua na kurembua sauti, aise nilijisikia vibaya sana. Kumbe jamaa ana mke na watoto. Inahuzunisha sana. Sijui kama kuna wanaume wanasikiliza kipindi chake. Mungu anusuru hiki kizazi.
 
Back
Top Bottom