What is this ,,Yes my Lord" ?

huo usemi wa 'my lord' na 'my lady' ni heshima tu...hamna anayejishugulisha nayo sana...watu wanafatilia uzito wa arguments zinazotolewa na mawakili wa pande zote...ila mtz yeye ameskia tu 'my Lord' out of everything that has been said...huna hoja Barbarosa
 
Kwahivyo Lord Sebastian Coe ni Mungu? Mitanzania bana, yaani neno Lord mnajua maana yake moja tu?
 
Kwahivyo Lord Sebastian Coe ni Mungu? Mitanzania bana, yaani neno Lord mnajua maana yake moja tu?
hehe usiwa laumu hawa limbukeni...wanadhani lord ni Yesu...hehe...yaani kuna Sir, Lord na Dame...hizi tunaziita English honorifics...lugha ya heshma...watz bana!
 


Demu wangu ni Mkenya ndo maana nafwatilia, hivyo nchi ya Kenya inanihusu kwa kiasi fulani na naipenda pia!
 
hehe usiwa laumu hawa limbukeni...wanadhani lord ni Yesu...hehe...yaani kuna Sir, Lord na Dame...hizi tunaziita English honorifics...lugha ya heshma...watz bana!


Lkn hata kwa Wazungu wenyewe wameshaacha hayo mambo na wanatumia hasa Uingereza kama nostalgia tu, lkn hakuna Mzungu mwingine anayetumia huu ujinga!
 
Lord ... haha Kenyans bwana.... These people are English wannabes despite the fact that English men treated them as shit still wanawashobokea lmao
 
Demu wangu ni Mkenya ndo maana nafwatilia, hivyo nchi ya Kenya inanihusu kwa kiasi fulani na naipenda pia!
haya basi nimekuelewa sasa...ila nakuomba upige search hii kwa Google...English honorifics...kisha uje uniambie ni nini umeona pale...
 
hehe usiwa laumu hawa limbukeni...wanadhani lord ni Yesu...hehe...yaani kuna Sir, Lord na Dame...hizi tunaziita English honorifics...lugha ya heshma...watz bana!
Lady, Dame ni bachelorette. Hehe watz wakiskia my Lord wanajua tu hawa jamaa wanaitana Mungu wangu! 😀 😀 😀
 
Lkn hata kwa Wazungu wenyewe wameshaacha hayo mambo na wanatumia hasa Uingereza kama nostalgia tu, lkn hakuna Mzungu mwingine anyetumia huu ujinga!
kwanza, kuna wazungu aina mbili na wanatumia Kiingereza tofauti,...kuna waingereza na kuna Wamarekani...English (UK) na English (US)...ukienda kwa waingereza (UK) utapata bado wanatumia hizi Lord, Lady, Sir etc mpaka wa leo...ila ukija kwa Mmarekani wanatumia "Your Honor..." sasa ukisema ilitumika karne ya 1900 unanishangaza sana...pengine huna exposure...ushaiskia Sir Alex Fergusson...lord Scott Disick, Lord Sebastian Coe? hawa hawaitwi hivyo bure...hii ni English Honorifics and they earned those titles kama vile madaktari wame earn kuitwa Professor ama PhD (doctor of philosophy)..
please refer to How to become a Lord | Buy an English Title

hizi titles hutaziona US but UK ziko bado...isitoshe, education curriculum ya Kenya inawanafunzwa watoto kwa UK English and not US English...ndio maana unaona wale mawakili wanatumia UK honorifics...
 


Na ndicho ninachokiongelea Waingereza wanatumia kwa sababu ya nostalgia tu au kuenzi Utamaduni wao ni kama vile kuvaa wig, Wazungu wengine wote ambao wanatumia British Common Law hawatumii na wala hawavai wig nchi kama vile Australia, NZ, AK, Kanada ingawaje ni direct descendants wa English man yaani wana English blood, sasa iweje sisi Waafrika ambao hatuna hata drop ya DNA na English man tuendeleza kuenzi? I mean, Kenya kuna mambo wangeweza kubadilisha kidogo, inaonekana so strange Mwafrika sura nyeusi halafu kavaa wig jeupe kichwani na kusema Yes my lord!
 
We hujajiuliza kwanini hao Justice Maraga na wenzake wanaitwa my Lord ndani ya mahakama wala si nje ya mahakama? Kama wakili unafaa uwe makini mahakamani usije ukapoteza kesi kwasababu tu ulimpa Hakimu kijicho!
 
hehe kweli....inakaa strange ila hio ndio official attire ya judges...wafanyeje? ila nimekuelewa mkuu...hizo mavazi ni za kitamaduni sana...waingereza wamehifadhi hizi tamaduni ambazo zilikuwa zamani wakati wa ukoloni...ndio maana polisi wa Palace wanavaa uniform utadhani ni katuni...nimekua London pia na majengo yao yanakaa ya zamani vile...yaani wanafurahi kuhifadhi hizi tamaduni...sasa ukiona mawakili wa kenya wanatumia My Lord usiwalaumu, ni mafunzo waliyopata baada ya mkoloni kuondoka Kenya...ukiangalia kwa makini, utatambua kuwa wale mawakili na judges ni wazee mno...walisomeshwa na mfumo huo huo wa mkoloni mwingereza...
 
ila sikulaumu naskia mnafunzwa mpaka Chemistry kwa Kiswahili...Kemia na Hisabati duh!
Baada ya muda kidogo tu, Kiswahili ndio itakuwa lugha ya utambulisho wa mtu mweusi. Kenyans hawana sababu ya kuongea kiswahili kibovu na kichafu namna ya kutapisha ikiwa mnasujudu KIINGEREZA, ongeeni Kiingereza tu, yanini kuangaika na lugha yetu?

Sina hakika kama China, Korea, Russia, Japan, Germany, even SA n.k kama wanafundisha hiyo HISABATI na KEMIA kwa kiingereza ila Kenyans wanaotumia hiyo lugha bado ni masikini wa kutupwa kama sisi tu!

Eti demokrasia, server za tume ziko Europe......bado unazungumzia demokrasia?
 
We hujajiuliza kwanini hao Justice Maraga na wenzake wanaitwa my Lord ndani ya mahakama wala si nje ya mahakama? Kama wakili unafaa uwe makini mahakamani usije ukapoteza kesi kwasababu tu ulimpa Hakimu kijicho!


Kwanza unafahamu kwa nini Uingereza wanatumia Yes my Lord/My lady? Ni kwa sababu Mahakama ya Uingereza inawakilisha the Monarchy ambaye anaweza kuwa King au Queen, yeye King/Queen ndiye Head of state na pia Mkuu wa judiciary Uingereza, sasa hai make sense nchi ya Kenya ambayo ni Jamhuri na inaongozwa na Raisi kusema Yes my Lord/Lady, ndiyo maana nasema Kenya wamechukuwa kila kitu 1-1 bila ya kufikiria, mambo mengine hayana maana, wangeweza kubadilisha!
 
hamna shida yoyote kuzungumza na Kiswahili...mimi naipenda sana Kiswahili...ila ni vzr pia kuenda na wakati...kuna wachina ambao kwa sasa wanajifunza kiingereza sababu wanaelewa umuhimu wake hasaa kwa kufanya biashara na waingereza...ni vzr kuelewa na kuzungumza lugha zote mbili....tuienzi kiswahili na pia tujifunze kiingereza sababu ndio lugha ya dunia...sasa tufanyeje?
 
utakuta hapo ulipo umevaa nguo na wala sio ngozi, hujakalia jiwe umekalia kit, mchana ukila ni kwenye sahani sio tawi, mkononi umefunga saa huangalii tena uelekeo wa jua, ofisini una computer 'yako', kwenye parking kuna gari (assumption) sio punda, unasimu 'kali' yenye Internet, unaishi kwenye nyumba imeezekwa kwa bati sio nyasi wala udongo, jikoni kuna microwave, fridge, oven etc...
So since we decided to adopt everything including religion we lost the moral authority to say "mnasujudu KIINGEREZA", swahili with its arabic touch dont impress me much..... people, lets learn some basic english, Afrikaans, french, german japanese, Dyula, zulu, maasai, si-Lozi..... lets learn e'm all!
 



Hivi unajua kua meno landlord linatokana na neon hilo hilo, 'lord' kwasababu ana nguvu za kukuondosha kwa nyumba...

Haji ana nguvu za kukufunga maisha, so yes, he is a lord or she is a lady justice... Ni neno la heshima...another word for lord pia ni chief...
Hauwezi ukatumia neno mheshimiwa kama unaongea na jaji mkuu, labda wale majaji wa law court, lakini pale Supreme court he is the president of all the courts of the land,
 
Barbarosa your precence here would be appreciated immensely!
 
Muache ulimbukeni wa kuiga kila kitu mnakosa asili mbwa nyie. Hivi unajua neno Ikulu asili yake? Imagine Nyerere an avatar wigi la nywele za dhahabu! Ina maana kipilipili cha kiafrika hakistahili mahakamani kwenye utafutaji wa haki! Mjitawale kwanza kifikra ndo mbishane na waliostaarabika sie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…