What is this ,,Yes my Lord" ?

The truth is just a google search away
I take back..... Yeah.. done some searching N I've seen where i was wrong in my assumptions! Let's get on with it
 
Hahah ni Waingereza weusi..hawajajikwamua mpaka sasa. Kinachoniua mbavu ni yale mawigi kwenye sura za mangedere. Uwiiii [emoji115] [emoji23] [emoji85]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Gez Ulole unaweza kuwa na hoja lakini sio sahihi kufananisha sura za waafrika wenzako na za ngedere. Kimsingi na wewe unajitukana kwa sababu sura za wakenya na watanzania zinafanana.
 
Ndugu Gez Ulole unaweza kuwa na hoja lakini sio sahihi kufananisha sura za waafrika wenzako na za ngedere. Kimsingi na wewe unajitukana kwa sababu sura za wakenya na watanzania zinafanana.
Ngedere mie nina upeo wa kuchanganua nn cha kuiga na nn cha kuwaachia Wazungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngedere mie nina upeo wa kuchanganua nn cha kuiga na nn cha kuwaachia Wazungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huwezi kuwa ngedere. Hawa viumbe wanaishi porini na makazi yao ni juu ya miti. Wewe ni binadamu kamili mwenye uelewa na kujiita ngedere ni kujikana nafsi yako. Just thinking aloud.
 
I assume that you're implying Swahili lacks "sufficient vocabulary to confer technical knowledge and skills".
This is just utter ignorance. You should move around some more. Come to Tanzania and let a Tanzanian professor explain to you Sigmund Freud or Karl Marx..........hivi vitu vipo...sema tu hujakutana navyo yet
 
I'd be so absofuckinglutely interested in listening to a Swahili lecture on Sigmund Freud.

Karl Marx is rubbish. I'd rather Adam Smith.

ICT in Swahili- mavazi nyepesi na magumu?

How on earth do u explain permutation, Econometrics, calculus, gene mutation, gravitational forces, properties of chemical elements....
in kiswahili

How in hell would u explain the core concepts in medicine, IT, architecture......in Kiswahili?

I heard some Tanzanian intellectuals debating this matter on BBC Swahili Dira ya Dunia when the govt presented that controversial proposal to make Kiswahili the medium of instruction thruoght its education system, even in University.
 
Kwahiyo KIINGEREZA ndo kimetengeneza hivyo ulivyotaja?
 
Hahahahaaa! You are still a little boy who doesn't even know how to articulate the "hymns" of life themselves! Hiyo ni lugha ya wanasheria. Kalagabaho! Sisiemu mkubwa weye!
 
Punguza povu! Kuna watu wanasoma kupitia kuangalaia kesi kama hizi ambazo hutokea mara chache!

Halafu sisi hatutamani wala hatupendi makesi ya namna hiyo, yanapoteza hela na muda! Tunataka uchaguzi ambao ukiisha kila upande unaridhika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…