Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Nimeona Mahakamani Kenya kila mtu anasema ,, Yes My Lord" what is this bullshit? It sounds so fake, imekaa kama movie zile za 1900 huko!
Hivi hata Wazungu wenyewe wakiona hii si watastaajabu sana? Yaani Wakenya wachukua kila kitu 1-1 wameshindwa hata kuedit kidogo tu ili angalau iendane na mazingira?
Hivi hata Wazungu wenyewe wakiona hii si watastaajabu sana? Yaani Wakenya wachukua kila kitu 1-1 wameshindwa hata kuedit kidogo tu ili angalau iendane na mazingira?