Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
povu...Muache ulimbukeni wa kuiga kila kitu mnakosa asili mbwa nyie. Hivi unajua neno Ikulu asili yake? Imagine Nyerere an avatar wigi la nywele za dhahabu! Ina maana kipilipili cha kiafrika hakistahili mahakamani kwenye utafutaji wa haki! Mjitawale kwanza kifikra ndo mbishane na waliostaarabika sie.
Sent using Jamii Forums mobile app