Inawezekana ccm wabovu lkn mbadala wa ccm bado hakuna kwa sab waliokuwepo ni wabovu kuliko ccm. Kwa mfano mamvi ndiye ataleta madiliko? Anayetaka urais ili amkomeshe kikwete? Mtu aliyethibitishwa kuwa ni fisadi na chombo chenye mamlaka kikatiba? Au chadema chama cha kifamilia? Au cuf chama chenye makundi? Tanzania upinzani wenye uwezo wa kutawala nchi bado haujatokea.
Chikundi,
Unachotaka kuwaaminisha wana JF ni kuwa mtu akiwa ccm, basi regardless yeye ni Bashite type or what , tayari anafaa kuongoza nchi . .? !
Ni lini hao wa vyama mbadala wamepata madaraka ya nchi wakashindwa kazi . . ?!
Ushahidi upo wazi, na ndio maana Paskal ameanzisha mjadala hapa, CCM wameshindwa ku support sekta binafsi kwa ujumla, wachilia mbali kufanya EXPORT . .
Sababu ntazitoa chache . . ,
1. Tanzania kisiasa, tangu tupate Uhuru . . , biashara kwa ujumla haikuwa ni jambo lililokuwa na Sera wezeshi na rafiki kwa watanzania . . Biashara zote zilikuwa zinafanywa na SERIKALI. Mashirika ya UMMA , RTC, BET, BIT, wahindi na wageni, BODI ZA MAZAO, VYAMA VYA USHIRIKA ndio waliokuwa exporters . . Mtanzania (mzawa) alipata taabu sana kufanya biashara nchi hii, nao waliitwa walanguzi tuu . .
2. Tanzania, na hasa ccm, walipoamua kukubali nchi iwe ya vyama vingi . . , bado wakaendelea kungangania Sera zao zilezile za UJAMAA . . , ila kwa HILA wao wakaanza kupora mali za UMMA kwa kisingizio cha UBINAFSISHAJI . .
Kwa sababu ccm walituingiza ktk siasa za kibiashara/kibepari kwa hila, ni wao tuu, viongozi wachache ndio waliokuwa na uelewa wa kuchangamkia fursa za biashara/export . . Walifanya hivyo wakishirikiana na watanzania wenye asili ya ki Asia na wageni wachache . .
3. SIASA ni sababu nyingine inayorudisha nyuma sana watanzania kufanya exports . .
Hata baada ya miaka zaidi ya 50 ya kujitawala, eti mtanzania hawezi kuuza mahindi yake kwa uhuru kabisa hata hapo Kenya tuu . . Kila exports ina cumbersome restrictions, ucheweleshaji wa documents processing for exports na mengi tu ya hovyo . .
Paskali, tatizo ni la CCM by 80% . . , ndio maana ni ngumu kufanya exports nchi hii . .