What is your favorite radio station.?

What is your favorite radio station.?

Ina maana hamtaki kutaja wasafi fm kabsaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We mkenya wa Rombo

Sent using Jamii Forums mobile app
Inanivutiaga tu mkuu
Screenshot_20190125-222357.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TBC Taifa, hua napenda kuisikiliza hiyo radio huku nimefyum
 
inamaana hakuna anaesikiliza tbc taifa jamani...mimi napenda sana kusikiliza tbc international
Wanaongea nini zaidi ya kusifia jiwe? Sijui hata ilipo. RTD niliipenda walikuwa wanachanganya habari, elimu na burudani. Siku hizi mh. sijui hata tbc zilipo.
 
Back
Top Bottom