U-xpert wake dunia inaukubali,kama wewe huukubali ni wewe.Haya aliyoandika Njoroge ni umahiri ambao Mbowe ataota tu.Kama yupo Magufuli ambae ni Lab expert basi atakuwa ni Magufuli tofauti na huyu ambae unfortunately ni Rais wa Tanzania.
Kweli wajinga ndio waliwao.Unajua the ajenda behind daily updates:fearmongering as a tool for purposes of enslavement and domination.Wake up you mind controlled idiots.Its intresting that you are relying on old data to compare with countries that provide daily updates of the pandemic.
Sent using Jamii Forums mobile app
U-xpert wake dunia inaukubali,kama wewe huukubali ni wewe.Haya aliyoandika Njoroge ni umahiri ambao Mbowe ataota tu.
Unajua,tunajua watu wanakufa na tunajua inawezeka virus yupo,lakini je tulichoaminishwa na matapeli wa nchi za magharibi kwamba kinawaua watu ndicho kweli au ni secondary na primary cause ni kitu kingine?Madaktari wakujitegemea,wenye independent minds wanasema wanachotibu sicho.Let me say this,the controversy na sintofahamu inayoizunguuka C-19,inaonyesha wazi kwamba there is something not right,something unusual with C-19,nadhani hata mtoto analiona hili.Mkuu kipimo cha corona kuwa tempered haimaanishi kuwa hakuna COVID-19...
Ukitafakari vizuri matamshi ya Magufuli, ni kama kuna nchi "mabeberu" or in this case "macho madogo", wameuza au wametengeneza test kits/test equipments etc ambazo nyingi zake zinatoa majibu yasiyo sahihi zaidi zikiegemea kutoa majibu chanya...(zipo za ukweli na za uongo)
Kwa mtu kama Rais (first family) tarajia tu kuwa atakuwa na kitu cha ukweli na labs zipo kwake na sio hadi samples ziende National Lab...
Au pia huenda yalikuwa mazungumzo ya habari tu kuwapa wananchi moyo, kuwa COVID haibagui ila mtu anapona kwa njia hata za kawaida
Mbowe ame-publish wapi mkuu.Labda tumsifie kwa ku-pinch hela ya ruzuku, Bibilicanas na mtaani.Mwisho naomba uelewe kwamba huwezi kupata PhD bila ku-publish a paper from your PhD thesis.Hiyo ndio sheria,kwa hiyo ingawa zizijui papers alizo publish,lakini naamini zipo.Naomba ujue pia kwamba Magufuli ni gumzo la dunia kwa sawa,ni celebrity.Cheki comments zifuatazo about him,na hizo ni chache sana.Nitajie international journal moja tu ambayo ama inamtambua au ina article/research ya Magufuli.
Alikataa vipimo vya korona halafu anasema mtoto wake ana corona alipimwa na vipimo gani?
Kweli wajinga ndio waliwao.Unajua the ajenda behind daily updates:fearmongering as a tool for purposes of enslavement and domination.Wake up you mind controlled idiots.
Mbowe ame-publish wapi mkuu.Labda tumsifie kwa ku-pinch hela ya ruzuku, Bibilicanas na mtaani.Mwisho naomba uelewe kwamba huwezi kupata PhD bila ku-publish a paper from your PhD thesis.Hiyo ndio sheria,kwa hiyo ingawa zizijui papers alizo publish,lakini naamini zipo.Naomba ujue pia kwamba Magufuli ni gumzo la dunia kwa sawa,ni celebrity.Cheki comments zifuatazo about him,na hizo ni chache sana.
Hivi povu lote hili la nini?Wewe ulishawahi ku-publish,ngojeni sisi tulio-publish tuseme.Mtu hata paper moja huna,halafu unamshikia mwenzio bango,hizo ni husuda tu.Kwa taarifa yako, thesis yake ya maganda ya korosho ilishaondolewa library ya UDSM ambao ndio waliompa hiyo PhD yake fake. Na ungekuwa na akili ungeona hata aibu kuleta hiyo video clip kwa kuwa humo ameitwa "medical doctor". He is a witch more likely but never a medical doctor or a scientist.
HAKUNA scientific journal yoyote dunia hii utakuta kazi ya mtu anaeitwa John Joseph Pombe Magufuli. HAKUNA.
Unajua,tunajua watu wanakufa na tunajua inawezeka virus yupo,lakini je tulichoaminishwa na matapeli wa nchi za magharibi kwamba kinawaua watu ndicho kweli au ni secondary na primary cause ni kitu kingine?Madaktari wakujitegemea,wenye independent minds wanasema wanachotibu sicho.Let me say this,the controversy na sintofahamu inayoizunguuka C-19,inaonyesha wazi kwamba there is something not right,something unusual with C-19,nadhani hata mtoto analiona hili.
You are an idiot little monkey, how do you have to bring old data in a conversation that requires current data which you have decided to hide for your own detriment?Kweli wajinga ndio waliwao.Unajua the ajenda behind daily updates:fearmongering as a tool for purposes of enslavement and domination.Wake up you mind controlled idiots.
Hizo ndio expert journalsMbowe ame-publish wapi mkuu.Labda tumsifie kwa ku-pinch hela ya ruzuku, Bibilicanas na mtaani.Mwisho naomba uelewe kwamba huwezi kupata PhD bila ku-publish a paper from your PhD thesis.Hiyo ndio sheria,kwa hiyo ingawa zizijui papers alizo publish,lakini naamini zipo.Naomba ujue pia kwamba Magufuli ni gumzo la dunia kwa sawa,ni celebrity.Cheki comments zifuatazo about him,na hizo ni chache sana.
Nani kakuambia ni illusion,soma comment yangu vizuri,do not rush into conclusions.Kwani nimesema watu hawafi? Wanakufa,sasa swali langu ni kwambaa,tuamini Ulaya kila wanachotuambia huku tukijua fika wameshatudanganya katika mambo mengi,kwa muda mrefu?I believe not,sisi sio copy cats,we have to establish our own facts.Main cause inaweza kuwa tofauti na tunachoambiwa.Tunachoanbiwa kinaweza kuwa secondary cause,which means kama tunachoambiwa ni secondary cause,basi approach to the problem might be very different.Sasa angalia wanasema 66% of infections zinatokea nyumbani,so why the lockdown then.Angalia clip ifuatayo.So, ... what happened in Italy is also another illusion .... ! 🤡 ? 🤡 !!?? 🤡🤡🤡
You do not deserve my comment.You are an idiot little monkey, how do you have to bring old data in a conversation that requires current data which you have decided to hide for your own detriment?
You wear tousers because you are enslaved otherwise you are supposed to be in your brand new goat skin clothes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikaribka kukufikia,msalimie.Magufuli nadhani atakuwa ana nia njema na nchi yetu jamani? Au mnasemeje members wenzangu? Yaani jamaa namuona anakuja kabisa.
Anayesema mvuke wa kujifukiza wenye "joto nyuzi 100 sentigredi utayeyusha korona", bila shaka bila ya kuyeyusha mwili wa mgonjwa!Kama yupo Magufuli ambae ni Lab expert basi atakuwa ni Magufuli tofauti na huyu ambae unfortunately ni Rais wa Tanzania.
hapa ndio nagundua ujinga ni sumu kubwa, eti thesis yake imeondolewa library ya UDSM?, kwa taarifa yako mpaka kesho ukitaka kufanya research ya kikemia na ukataka kurejea utafiti uliofanywa na Magufuli na hata mwanasayansi yoyote yule aliewahi kuwasilisha utafiti wake UDSM unarequest na unapatiwa, hizo pumba unazosema peleka under graduate huko hupewi PHD kizembeKwa taarifa yako, thesis yake ya maganda ya korosho ilishaondolewa library ya UDSM ambao ndio waliompa hiyo PhD yake fake. Na ungekuwa na akili ungeona hata aibu kuleta hiyo video clip kwa kuwa humo ameitwa "medical doctor". He is a witch more likely but never a medical doctor or a scientist.
HAKUNA scientific journal yoyote dunia hii utakuta kazi ya mtu anaeitwa John Joseph Pombe Magufuli. HAKUNA.
As I was reading this 'masterpiece of junk' I kept thinking of the "Mwanataaluma" as proclaimed by the individual who posted the said document here; only to be disappointed latter on discovering that there is another lunatic from the neighboring woods!Call a spade a spade,Kenyatta is a bogus President.