What should I do?

Ushauri bora sana huu.
 
Pole sana mkuu
Naona una upweke pia
DM me please tuunge undugu

Kuhusu connection inategemea na sekta uliyopo

Mimi ni mjasiliamali (startup) so nipo na mzunguko wa watu wa Aina hiyo, innovator s and the likes ndo watu nilionao Sasa Kama nawe unawataka njoo ntaku connect nao

Pole aysee
 
Thanks for this. Nakumbuka kuna siku ulishawahi ni describe aisee ulipatia vyote๐Ÿ˜…๐Ÿ˜
 
Asante kipenzi
 
Ni kama hawapo,, uchague kuchepukiwa kwa heshima na wengi tuko hapo au kama roho ndogo achana na mapenzi kabisa yani jitoe, ila kumpata mwanaume wa kiafrika anaetokea Tanzania wako peke yako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hata kamari ina uhakika wa kupata
Mimi nina roho ndogo๐Ÿ˜‚, heshima ndio kitu nahitaji pia ila ukishafahamu hamna heshima hapo.
 
Ni kama hawapo,, uchague kuchepukiwa kwa heshima na wengi tuko hapo au kama roho ndogo achana na mapenzi kabisa yani jitoe, ila kumpata mwanaume wa kiafrika anaetokea Tanzania wako peke yako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hata kamari ina uhakika wa kupata
kila mtu anamrushia mpira mwenzake.... me, ke wote tuko hovyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ