😂😂🤣😂 yanBoyfriend hapana, wanani heartbreak sana nakuwa sina hata amani ya kuwa kwenye mahusiano.
nilijua tu, hapo ukiamua kuacha viwanja, mvinyo, pool parties utaona watu watapunguaNilikuwa naenda penye migahawa labda 😄 ila vile vyako hapana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sio walokole hao???Nilishawahi kufanya hivyo, kanisani kuna wanaf’ki balaa🚮💔
Sasa ungejua asilimia kubwa ya circle yangu sio watumia vyombo.nilijua tu, hapo ukiamua kuacha viwanja, mvinyo, pool parties utaona watu watapungua
ni ngumu sana ukute mtu hana mambo ya viwanja afu ana circle kubwa kubwa
hapo sawa....Sasa ungejua asilimia kubwa ya circle yangu sio watumia vyombo.
Mpk wananiulizaga nimejifunzia wapi
Washanikataza niache, sisikii.
Wapiga vyombo ni wachacheee mno
Na sio marafki zangu
Wale wa shida na raha.
Ni wana tu kazi na mishe zimetukutanisha, unakuta wkend ka sms kanakuja, uko wapi? Tufike sehem flani basi.
Ila wana wangu wa faida huwakuti Pillars,, ni watu wa Kanisani balaa 😃😃
Af mentioned yrs ndo nilikuwa namalizia na kutoka chuo. So nilikuwa nanukia bado uanafunzi. Natoa wapi potential circle zaidi ya ndugu?nilijua tu, hapo ukiamua kuacha viwanja, mvinyo, pool parties utaona watu watapungua
ni ngumu sana ukute mtu hana mambo ya viwanja afu ana circle kubwa kubwa
Yan watu naoshinda nao ukiwaeleza mambo ya pillars watasema unanisingizia 🤣🤣🤣hapo sawa....
wengine ndo kama tunaanza upya
umefanya vizuri kubalance kote koteYan watu naoshinda nao ukiwaeleza mambo ya pillars watasema unanisingizia 🤣🤣🤣
Shida ako nishaijua 🤣🤣🤣Hapana, shida sio kupigiwa simu. Napenda kupata connections😍
Mbaya kwa nani 😂 jicontrol wewe mtotoumefanya vizuri kubalance kote kote
nightlife ni mbaya aisee, kufuata mkumbo kunaharibu maisha😂
usijali sasa nimeokoka😂Mbaya kwa nani 😂 jicontrol wewe mtoto
Hajatokea bado wa kuniharibu 🤣🤣usijali sasa nimeokoka😂
oldie kama oldie😂Hajatokea bado wa kuniharibu 🤣🤣
Yan we sio kalevi, mtu anakwambia unywe nawe unakunywa? Kisa ni friends zako?
Huo ni unazi, kuna rafiki angu mmoja.. meza zote mtajaza vitu mpk moshi, ye anaitisha fanta zake 3 🤣🤣 humuonjeshi 🍺hata kidogo... hivyo ndio mtu anapaswa awe, sio kukokotwa tu
Kabisa youngie 🤣🤣oldie kama oldie😂
naona unanitemea madini😂
acha niyachukue
wazo zuri nimelipendaanza kujizoesha kwakufanya mambo magumu yatakayohitaji msaada kutoka Kwa wengine
Iko hivi,swala la kutoboa kimaisha sio lazima uweze kuinteract na watu wengi ingawa kwa kiasi flani inasaidia.Kuna watu ambao ni introverts ambao kama ni marafiki anao mmoja au hawazidi hata watano lkn mambo yake ni makubwa sana,na kuna watu wana marafiki wengi sana lkn yeye kila siku mtu wa kupiga mizinga.Kwahiyo kufanikiwa ni NEEMA tu kutoka kwa Mungu,ila usiache kupambana na wala usikate tamaa kwa kile unachoamini....Hellow Guys!
Hope mnaendelea vizuri.
It’s “Ms Eyes” again.
Sorry naombeni ushauri ni kwa namna gani naweza kuongeza idadi ya watu as you all know dunia ya sasa hivi bila connections ni ngumu sana kutoboa na hizo connection huwa zinatoka kwa watu. Can you all imagine sina hata watu 90 kwenye mzunguko wangu wa maisha.
Mimi ni aina ya wale watu ambao napata shida ku interact na watu, ni ngumu sana kumzoea mtu, siwezi kukaa kwenye mkusanyiko wa watu wengi. Mara nyingi huwa nipo ndani haswa kama sina shughuli ya kufanya kwa siku hiyo au wakati huo.
Napata shida sana haswa kwa kipindi hichi ambacho nahitaji kazi, nilijaribu kufanya biashara ya kukopesha lakini sikuiweza kwasababu huwa sipendi kuongea na kugombana na watu, hata hivyo nilikuwa napata wakati mgumu kwasababu sikuwa na watu wengi wa kuwatembezea bidhaa zangu.
Marafiki ndio kabisa sina, napitia changamoto nyingi sana sina hata mtu wa kuongea nae au wa kunipa mawazo tofauti ili niweze kuwa sawa kwa kiasi fulani. Simu yangu inaweza isipigwe kwa muda hata wa siku tano😂💔.
NIKO HAPA KUPOKEA USHAURI WENU WAKUU. Ningependa kupewa majibu positive ili nisiendelee kuvunjika moyo though kuna watu wapo watanijibu negative.
HAPPY ENDING WEEKEND Y’ALL.😍
Karibuni!