What should I do?

What should I do?

Kwa mtizamo wangu you already have somewhere to start.
Zingatia kwamba u need not just friends, but make a room for professional friendship ties according to what you offer (nimeona umesema una products una uza/uziwa na awatu).
Kazi ikianza urafiki ukapatikana ndani ya kazi, guarantee ya kudumu ni kubwa sana na likely unaweza kutana na watu mnao share interests so u will never miss a bond and issues za kujadili most of the time hence kuwa keep close.

Tofaut na ile kuwa tu na urafik ambapo hata cha kuUngumza unatafutiza.Noo.

NITARUDI
 
Kuwa Mtu wa kwenda ibadani kila wakati sehemu za ibada ni sehemu nzuri kutengeneza networks maana pale watu wengi waliofanikiwa upenda kwenda kumshukuru Mungu kwa kuwafanyia Jambo na wengine kusali kawaida tu.

Pia Sehemu za starehe nenda Sehemu zenye utulivu Kama Kilimanjaro hotel hapo utaanza Kupata sura mpya pia kuwa mtu wa kusalimia watu usisubiri wao wakuanze .
Asante
 
Hellow Guys!
Hope mnaendelea vizuri.

It’s “Ms Eyes” again.
Sorry naombeni ushauri ni kwa namna gani naweza kuongeza idadi ya watu as you all know dunia ya sasa hivi bila connections ni ngumu sana kutoboa na hizo connection huwa zinatoka kwa watu. Can you all imagine sina hata watu 90 kwenye mzunguko wangu wa maisha.

Mimi ni aina ya wale watu ambao napata shida ku interact na watu, ni ngumu sana kumzoea mtu, siwezi kukaa kwenye mkusanyiko wa watu wengi. Mara nyingi huwa nipo ndani haswa kama sina shughuli ya kufanya kwa siku hiyo au wakati huo.

Napata shida sana haswa kwa kipindi hichi ambacho nahitaji kazi, nilijaribu kufanya biashara ya kukopesha lakini sikuiweza kwasababu huwa sipendi kuongea na kugombana na watu, hata hivyo nilikuwa napata wakati mgumu kwasababu sikuwa na watu wengi wa kuwatembezea bidhaa zangu.

Marafiki ndio kabisa sina, napitia changamoto nyingi sana sina hata mtu wa kuongea nae au wa kunipa mawazo tofauti ili niweze kuwa sawa kwa kiasi fulani. Simu yangu inaweza isipigwe kwa muda hata wa siku tano[emoji23][emoji174].


NIKO HAPA KUPOKEA USHAURI WENU WAKUU. Ningependa kupewa majibu positive ili nisiendelee kuvunjika moyo though kuna watu wapo watanijibu negative.

HAPPY ENDING WEEKEND Y’ALL.[emoji7]

Karibuni!
Kwanza unatakiwa kujua hili, unaweza kuwa na watu wengi lakini wasiwe na msaada kwako...
_______

Pia njia mojawapo ya kupata mafanikio katika maisha ni kujitahidi kutengeneza marafiki wapya, bila kuangalia status zao...

Kupitia Marafiki wapya utapata mawazo mapya. Na Njia kubwa kwa sasa ya kuwapata hao ni kupitia mitandao ya Kijamii...

Natolea mfano Twitter: Maelezo kwa ufupi...
Kunakuaga na ToT Bonanza watumiaji wengi wa Twitter wanakutana kila mmoja akionyesha Biashara anayoifanya na kutengeneza connections na watu mbali mbali...

Pia kama jana baadhi walikutana Mlimani Park na walikuja wataalam wa UTT Amis wakatoa semina kuhusu uwekezaji kwao. Baada ya pale watu wakatambulishana kwa Biashara wanazozifanya pia kubadilishana mawazo pamoja na kutengeneza connections mpya...
_______

Usiwe mtu wa kujifungia ndani, toka changamana na watu unaweza kupata Marafiki wapya kupitia Seminar mbalimbali zinazohusu vijana (ujasiriamali, biashara n.k) na vikundi kama wengine walivyosema huko juu Vijana Kanisani...
 
zamani? ipi hiyo ?

msalimie sana Lenie mwambie mie sijambo
Back in 2018,2019,2020 huko
Nilikuwa naringa 🤣🤣
Najikuta siwezi jimix na watu 😂😂
Najiona miss indoor
Nilikuwa napata watu/ marafiki nashindwa kuwakeep
2021. Nikaanza kutoka kwenye ile zone, nikaacha kuwa categorize watu, kunata kukaniisha. nina hakika miaka niliyokuwa nayo 2020 ndiyo anayo Miss macho now. Akatae

Aiii now nina watu
Ambao hata nisipowapigia wao watanipigia
Siwezi kaa siku nzima sijapigiwa

Na kuna wale wanaweza jileta wawe friends
Kumbe wanakuja kukujua mimacho ni nani
Uwe makini 🤣🤣🤣 Ms eyes
 
Mimi mbona Sina sio muongeaji kiivo lakin nikikutana na mtu maramoja Huwa simpi nafas ya kujutia kunifahamu jifunze ukarimu na unyenyekevu
Facial expression unapokutana na watu
Onawatu wote sawa na wew, salimia watu Kwa furaha hata km huwafahamu,usijiupgrade Kwa kiwango kikubwa sana jua tu mipaka Yako
All the best kipenz
 
Back in 2018,2019,2020 huko
Nilikuwa naringa 🤣🤣
Najikuta siwezi jimix na watu 😂😂
Najiona miss indoor
Nilikuwa napata watu/ marafiki nashindwa kuwakeep
2021. Nikaanza kutoka kwenye ile zone, nikaacha kuwa categorize watu, kunata kukaniisha. nina hakika miaka niliyokuwa nayo 2020 ndiyo anayo Miss macho now. Akatae

Aiii now nina watu
Ambao hata nisipowapigia wao watanipigia
Siwezi kaa siku nzima sijapigiwa

Na kuna wale wanaweza jileta wawe friends
Kumbe wanakuja kukujua mimacho ni nani
Uwe makini 🤣🤣🤣 Ms eyes
Hii paragraph ya mwisho tunakemea mapepo yashindwe 😂😂
 
Back
Top Bottom