What went wrong with Harmonize

What went wrong with Harmonize

Mjuba ndio anaumaliza mwendo ivo, Tutarajie kusikia Rais fulani kamnusuru na Madawa na kaona ampeleke sober
 
Harmo na diamond wametumika sana kwenye show za bure hapa juzizuzi. " hawana mpya tena ..... hakika umaarufu wao utabaki humuhumu mitandaoni., km hawaamini wajaribu kufanya live show....

& things will never be the same again. [emoji121]
 
Harmo na diamond wametumika sana kwenye show za bure hapa juzizuzi. " hawana mpya tena ..... hakika umaarufu wao utabaki humuhumu mitandaoni., km hawaamini wajaribu kufanya live show....

& things will never be the same again. [emoji121]
Kwa hiyo wakiimba live show ndio hawajashuka.Manake tunawaona FM Academia,Banana nk wanaimba live lkn mapromota hawawaiti kwenye show zao.
 
Mjuba ndio anaumaliza mwendo ivo, Tutarajie kusikia Rais fulani kamnusuru na Madawa na kaona ampeleke sober
Tamasha aliloahrisha ndo ilikuwa chance pekee ya kufanya counterstrike, kudelay imekuwa death sentence....
 
Mkuu ishi maisha yako, wazazi probably wako wanakutegemea.

Wasanii hawana time na wewe, rafiki yao ni yule mwenye pesa na madaraka.

Kwa lugha rahisi watu maarufu wote Tanzania walishajua wabongo hamnazo na hawajielewi ndio maana wano busy na mambo yao kama CCM, endorsements.

Hata ukikutwa umeyawa kikatili Ubungo, they don't care hata atakayekemea
Ngoja nichomekee hapo hapo.

Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Ngoja nichomekee hapo hapo.

Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
Wasanii wa Congo nu kama hawa wa kwetu, kazi kujipendejeza kwa watawala nchi imevurugika wanakimbilia Ufaransa.

Leo wajokongo wanaoishi Ufaransa wako tayari kuandamana kuzuia kuzuia matamasha ya wasanii wa Congo wakiwatuhumu kishirikina na watawala kuvuruga nchi yao
 
Simwelewi huyu mwamba wa Chitoholi, 2 years before he was the fastest rising singer in bongo fleva history , alikuwa fire Sana pale WCB, kichwa chake kilikuwa kimetulia na alitoa mawe Sana , uamuzi wa kutoka WCB ulipokelewa Kwa hsia tofaut na watu , wengi tulimwelewa pia na kumtakia Kila laheri , kweli anapata support ya media kubwa and some how anafanya vizur kwenye digital platforms, hata hvyo nyuma ya pazia mambo hayapo vizur Kwa huyu mwamba wa Chitoholi.

Project zake nyingi zinafeli , uimbaj wake umeyumba Sana , tangu atoke WCB ngoma nazozikubal ni UNO na Fall in love , ..... Vijembe vimekuwa vingi , nafkr yupo under high pressure Sana , washauri pia ni wengi ambao most of them wanamtia hofu, huku anaonekana kuwa na was was kumantain the top ili kushindana na WCB ambao kimsingi wapo well organized

Amekuwa mtu wa kulalamika Sana , alituahidi mgahawa town sjui umeishia wap , alituahidi Tandahimba fm lakn nothing new , utaskia akiwa jukwaani " wanangu niwaambie kitu, mwezi ujao tunawasha redio hapa hapa nyumbani"

Tuliahdiwa tamasha kubwa sanan November 28, Jana kapost insta analalamika tuu , kwamba issue imefeli na ipo postponed sjui mpak lini....
Ibra alikuwa anatosha Sana Kwa mwaka huu , ukurupukaj wa kusign magrunet mengine yanampa pressure tuuu....
Naona asipobadilika atapotea kabisaaa

View attachment 1629658
Harmo ni talented ila ana kwazwa na mambo mawili:
1. Kuiga WCB - Kila anachofanya anataka kuiga au kushindana na WCB. Inabidi aende kivyake na atengeneze identity yake.

2. Anajali sana quantity kuliko quality. Anafanya mambo mengi sana kwa wakati mmoja kama kutoa ma track mengi, ma album, kusaini watu nk ilhali ubora upo chini.

Hivi sasa ngoma ya Harmo inayopigwa kwenye weekend night shows za Uganda na Kenya ni "Fire Waist" (x Scales). Hizi zote lukuki mpya hawazijui !!

Kwa kifupi atulize kichwa ajali quality game ataimudu. Harmo ni mtu muhimu sana kwenye hii game.
 
Huyu jamaa nakumbuka mwaka mmoja kabla kuondoka WCB alikuwa moto hata kuliko Diamond yan inshort nilimuona kama ndo nwanamziki bora Tanzania! Alivyoondoka WCB jamaa akaanza kuzingua sana af udhaifu wake mkubwa ni kwamba anakurupuka sana na kutaka kushindana na management yake ya zamani!! Kila siku ana sign wasanii wapya af wale wa mwanzo bado hawajafika popote! Me nilijua akitoka kule atakuwa ameondoka na maujanja ila ase anakurupuka sana,Aisee jamaa sijui anawazaga nini hivi unaanzje kusign wasanii label zaid ya wa 4 ndan ya miez tu! Af anasign wasanii wasiokuwa na maajabu!! Hao wasanii mda sio wataondoka zao! Sema jamaa tatizo kubwa ni kwamba anazungukwa na watu wasiojua mziki ndo maana
[emoji122] ni kweli kabisa.
 
Dharau,majivuno,bifu za kijinga,skendo zisizo na mashiko.

Bifu na domo angetuachia haters na anonymous kama sie yeye angeendelea na muziki mzuri. Sasa mtu hadharani anaonyesha kukosa shukrani kwa aliyemshika mkono mpaka kujulikana.

Hii interview hapa chini inaniambia kabisa Harmonize inaweza kumchukua muda kufanikiwa.

Hasa baada ya kutoa wimbo wa Ushamba.

 
Ngoma ya Ushamba imekuwa mistake kubwa Sana , kibaya zaidi WCB wametoa mawe Sana msimu huu, ngoma ya Rayvanny , fall ya Mboso pamoja na whaa , na hyo tumewasha ya Tgo ndo kabisaaaaa itakuwa ngumu Kwa kondeboy kufanya counterstrike hasa kipind hiki ambacho yupo under high criticism Kwa kumshambulia Diamond waz waz kwenye wimbo wa Ushamba
 
Ameshapanic
Ngoma ya Ushamba imekuwa mistake kubwa Sana , kibaya zaidi WCB wametoa mawe Sana msimu huu, ngoma ya Rayvanny , fall ya Mboso pamoja na whaa , na hyo tumewasha ya Tgo ndo kabisaaaaa itakuwa ngumu Kwa kondeboy kufanya counterstrike hasa kipind hiki ambacho yupo under high criticism Kwa kumshambulia Diamond waz waz kwenye wimbo wa Ushamba
Screenshot_20201126-192420.jpg
 
Hivi label yake bado ipo au ilishasambaratika mbona wale wahuni wako kimya au ndio kula kulala.

Au pengine anajipigia kwanza promo yeye wengine baadae.

Mistake kubwa kondeboy aliyoifanya huu mwaka nikubeba hao majama yaani amejichimbia shimo.
 
Back
Top Bottom