What's your favorite movie line/quote?

What's your favorite movie line/quote?

For all of my career, I've been trying to catch people after they do something horrible. For once in my life, I'd like to catch somebody before they do something horrible.

Denzel - Dejá vu 2006.
 
Salaam wakuu,

Habari za furahi day?

Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs.

Huwa unakuta kwenye movie kuna punchline matata ambayo inakupa msisimko wa kutamani kujua actions zinazofata.

Personally ziko quotes nyingi tu, ila hii "l don't think you understand, these boys killed my dog" Nilijua kinachoenda kutokea itakua ni hatari... hebu tupia na zako

‘Assumptions is a mother of all fuckups...’Movie tittle nimeisahau.

“Reading at Menu doesn’t mean I am gonna eat” Theodore Bagwell Prison Break.

“The word mistake is not in my dictionary “ Jonny English.
 
"Waste that muthaphucka" ~ Samuel L. Jackson movie siikumbuki sijui ni snakes on the plane
 
justice League: Director's Cut Trailer

Flash: This guy has probably fought hundreds of thousands of superbeings on the other planets he has destroyed, Right? And we have to assume he has won

Batman(Ben Affleck)I don't care how many demons he has fought in how many hells, He has never fought Us, NOT US UNITED
 
Back
Top Bottom