kuna hackings zilitokea kwenye whatsapp na hisi izi ni counter measures (inawezekana )au defects za hizo attacks baada ya hii mifumo kuanza kufanya transaction zina seek attention kutoka kwa watu wakila aina na vulnerability ilikuwa ile vièw once featureView attachment 3188334
WhatsApp business yangu kwa siku za hivi karibuni imekuwa ikinisumbua inakuw ina logout na kunisubirisha baada ya masaa 24 tena ndy niweze kujaribu kuingia tena, na yanapofika masaa 24 niki verify account inakubali inafunguka ila natumia ni ndani ya dk10 tu ina-logout tena, sas hii imekuwa changamoto sana kwangu nashindwa kutumia. Wana Jf naombeni msaada, nifanyeje ili niweze kuondokana na tatizo hili?
nifanyeje mkuu?kuna hackings zilitokea kwenye whatsapp na hisi izi ni counter measures (inawezekana )au defects za hizo attacks baada ya hii mifumo kuanza kufanya transaction zina seek attention kutoka kwa watu wakila aina na vulnerability ilikuwa ile vièw once feature
wezesha 2 step verification, update application ya whatsapp kila mara,hizo verification codes zitumie mara kwa maranifanyeje mkuu?
Simu Yako ndio shida mkuu, oppo Huwa zinakula block daily.View attachment 3188334
WhatsApp business yangu kwa siku za hivi karibuni imekuwa ikinisumbua inakuw ina logout na kunisubirisha baada ya masaa 24 tena ndy niweze kujaribu kuingia tena, na yanapofika masaa 24 niki verify account inakubali inafunguka ila natumia ni ndani ya dk10 tu ina-logout tena, sas hii imekuwa changamoto sana kwangu nashindwa kutumia. Wana Jf naombeni msaada, nifanyeje ili niweze kuondokana na tatizo hili?
Simu Gani unatumia??View attachment 3188334
WhatsApp business yangu kwa siku za hivi karibuni imekuwa ikinisumbua inakuw ina logout na kunisubirisha baada ya masaa 24 tena ndy niweze kujaribu kuingia tena, na yanapofika masaa 24 niki verify account inakubali inafunguka ila natumia ni ndani ya dk10 tu ina-logout tena, sas hii imekuwa changamoto sana kwangu nashindwa kutumia. Wana Jf naombeni msaada, nifanyeje ili niweze kuondokana na tatizo hili?
Ni yale yale, jaribu WhatsApp ya kawaida uone kama hawakupigi banVIVO