WhatsApp imeanza kuweka mfumo wa Channels

WhatsApp imeanza kuweka mfumo wa Channels

Li mtandao la siku nyingi ila hovyo Sana. Telegram imekuja nyumba yake ila Ina features nzuri Sana. Telegram ukikosea post unaweza ku eddit lakini Whatsapp huwezi. Gifs za telegram ni za ukweli lakini Whatsapp za hovyo zinaonekana vipande. Sijui watanzania tumekariri nini kuhusu Whatsapp Kila kundi la kijamii utasikia kundi la Whatsapp. Whatsapp Haina hata saved massages sehemu ambayo unaweza kukitumia au kutunza Taarifa zako binafsi Leo ndio wanaiga channels za mrusi?
 
Li mtandao la siku nyingi ila hovyo Sana. Telegram imekuja nyumba yake ila Ina features nzuri Sana. Telegram ukikosea post unaweza ku eddit lakini Whatsapp huwezi. Gifs za telegram ni za ukweli lakini Whatsapp za hovyo zinaonekana vipande. Sijui watanzania tumekariri nini kuhusu Whatsapp Kila kundi la kijamii utasikia kundi la Whatsapp. Whatsapp Haina hata saved massages sehemu ambayo unaweza kukitumia au kutunza Taarifa zako binafsi Leo ndio wanaiga channels za mrusi?

Unaweza kuedit msg whatsapp toka huko vichochoroni ulipo updates zitakufikia. 5B WhatsApp, 1B Telegram downloads. Numbers speak for themselves. Kama watanzania wanafika 5B haya.

WhatsApp Image 2023-06-09 at 6.37.43 AM (2).jpeg
 
Whatsapp inawafaa wenye akili ndogo, Telegram inawafaa wenye akili kubwa (Intelligence-based people) nina mwaka wa tano sasa whatsapp naisikia kwenye mabomba yao tu situmii upuuzi.
 
Jambo ambalo Telegram wamelifanya kwa miaka zaidi ya 7 sasa..

Ndio wanafanya leo? Haitakuwa nzuri kiviile whatsapp inapendeza ilivyo miaka mitatu nyuma.

Binafsi naona wanaweka vitu ambavyo ni vya kukopi ubunifu + Unnecessary.

Hao META walikuja na feature ya POKE ktk Fb na haikuzaa matunda..

Telegram watabaki kuwa juu ktk creativity.

Refer
Group capacity mwanzo Whatsapp ilikuw inalimit 250 tu ila sahiv wanafik 500+ wakat huo Telegram inapokea hata members laki moja na kuendelea.

Privacy.. Telegram ndio most secured Messenger app, ipo well organized kuanzia txt vanishing etc hii nayo whatsapp wameiga.

Sticker, whatsapp wameiga kwa Telegram.

Ni mambo mengi sana whatsapp wameiga..

Whatsapp wajitathmin sana ktk creativity wanazidiwa na wale wa FOUAD MODS wapo ahead.. app sio yao ila wanauwezo mkubwa wa kuclone features na kuziembedd ktk whatsapp server ambazo zinaleta umuhimu zaidi.
Marekan wanajua biashara sana unafikiri walishindwa kuziweka tangia mwanzoni? Hawakushindwa lakin unaweka kila kitu kwa wakati mmoja utakuwa na jipya gan uko mbeleni saiv wanafanya update wasap inazidi kuwa maarufu lakin jiulize telegram mbona sio mmarufu licha ya uwepo wa ivo vyote

Marketing braza.
 
Unaweza kuedit msg whatsapp toka huko vichochoroni ulipo updates zitakufikia. 5B WhatsApp, 1B Telegram downloads. Numbers speak for themselves. Kama watanzania wanafika 5B haya.

View attachment 2651531
Sasa edit nayo unapewa LIMIT huko Whatsapp, Telegram si tu unaweza kuedit messo muda wowote ila unaweza kuifuta kabisa hadi kwa uliyemtumia kama bado hajaifungua na ukatuma upya... Telegram ina features mingiiii sana za kipekee
 
Sasa edit nayo unapewa LIMIT huko Whatsapp, Telegram si tu unaweza kuedit messo muda wowote ila unaweza kuifuta kabisa hadi kwa uliyemtumia kama bado hajaifungua na ukatuma upya... Telegram ina features mingiiii sana za kipekee

Nobody denies that ila sio Kila mtu anahitaji hizo features na kuwa na features nyingi ni kazi bure kama users wachache. 5B vs 1B downloads numbers speak for themselves.
 
Marekan wanajua biashara sana unafikiri walishindwa kuziweka tangia mwanzoni? Hawakushindwa lakin unaweka kila kitu kwa wakati mmoja utakuwa na jipya gan uko mbeleni saiv wanafanya update wasap inazidi kuwa maarufu lakin jiulize telegram mbona sio mmarufu licha ya uwepo wa ivo vyote

Marketing braza.
Nani kasema Telegram sio maarufu?

Telegram sio maarufu labda kwa upande wako ila kwa upande wa kidunia ni maarufu sana.
 
Marekan wanajua biashara sana unafikiri walishindwa kuziweka tangia mwanzoni? Hawakushindwa lakin unaweka kila kitu kwa wakati mmoja utakuwa na jipya gan uko mbeleni saiv wanafanya update wasap inazidi kuwa maarufu lakin jiulize telegram mbona sio mmarufu licha ya uwepo wa ivo vyote

Marketing braza.
Hakuna cha marketing strategy hapo, kuingiza hizo features ni swala la kiutaalam zaidi so inategemea una watu gani ktk kitengo, pia SERA za kampuni/Mtandao zinasemaje? Ndio maana Google kila siku wanabadiri sera za matumizi ya Huduma zao hasa upande wa Youtube au huwa husomi?
 
Back
Top Bottom