Telegram naipenda sana napakua movies mpaka raha.Telegram hujaijua vzr na huwenda hujajua matumizi yake vzr niruhusu nikwambie Matumizi ya Telegram ambayo yatakuacha mdomo wazi..
Nzi wataingia mdomoni.Nieleze ili nibaki mdomo wazi
Li mtandao la siku nyingi ila hovyo Sana. Telegram imekuja nyumba yake ila Ina features nzuri Sana. Telegram ukikosea post unaweza ku eddit lakini Whatsapp huwezi. Gifs za telegram ni za ukweli lakini Whatsapp za hovyo zinaonekana vipande. Sijui watanzania tumekariri nini kuhusu Whatsapp Kila kundi la kijamii utasikia kundi la Whatsapp. Whatsapp Haina hata saved massages sehemu ambayo unaweza kukitumia au kutunza Taarifa zako binafsi Leo ndio wanaiga channels za mrusi?
Dodoma bado wakati mimi niliipata tangu last week nikiwa Mwanza?Basi Dodoma bado
Hongera mwambaDodoma bado wakati mimi niliipata tangu last week nikiwa Mwanza?
Update hiyo App yako.
Marekan wanajua biashara sana unafikiri walishindwa kuziweka tangia mwanzoni? Hawakushindwa lakin unaweka kila kitu kwa wakati mmoja utakuwa na jipya gan uko mbeleni saiv wanafanya update wasap inazidi kuwa maarufu lakin jiulize telegram mbona sio mmarufu licha ya uwepo wa ivo vyoteJambo ambalo Telegram wamelifanya kwa miaka zaidi ya 7 sasa..
Ndio wanafanya leo? Haitakuwa nzuri kiviile whatsapp inapendeza ilivyo miaka mitatu nyuma.
Binafsi naona wanaweka vitu ambavyo ni vya kukopi ubunifu + Unnecessary.
Hao META walikuja na feature ya POKE ktk Fb na haikuzaa matunda..
Telegram watabaki kuwa juu ktk creativity.
Refer
Group capacity mwanzo Whatsapp ilikuw inalimit 250 tu ila sahiv wanafik 500+ wakat huo Telegram inapokea hata members laki moja na kuendelea.
Privacy.. Telegram ndio most secured Messenger app, ipo well organized kuanzia txt vanishing etc hii nayo whatsapp wameiga.
Sticker, whatsapp wameiga kwa Telegram.
Ni mambo mengi sana whatsapp wameiga..
Whatsapp wajitathmin sana ktk creativity wanazidiwa na wale wa FOUAD MODS wapo ahead.. app sio yao ila wanauwezo mkubwa wa kuclone features na kuziembedd ktk whatsapp server ambazo zinaleta umuhimu zaidi.
Ni wewe ndio unayahitaji hayoYaan telegram imekuwa Mtandao wa Mashoga na Wauni
Ipo mbonaLini?
Tuma sms ukosee halafu rekebishaIpo mbona
Mgroup ya malaya yanatengenezwa na watu wenyewe sidhani kama ni kosa la telegram hilo mkuu kila mtandao una watumiaji wa hovyo haohao malaya walianzia whatsapp leo hii ndo wamekimbilia telegram...Hakuna kipya chini ya jua , Kwa coverage ya watsap hao telegram wamebak kuwa maficho ya group za malaya
Sasa edit nayo unapewa LIMIT huko Whatsapp, Telegram si tu unaweza kuedit messo muda wowote ila unaweza kuifuta kabisa hadi kwa uliyemtumia kama bado hajaifungua na ukatuma upya... Telegram ina features mingiiii sana za kipekeeUnaweza kuedit msg whatsapp toka huko vichochoroni ulipo updates zitakufikia. 5B WhatsApp, 1B Telegram downloads. Numbers speak for themselves. Kama watanzania wanafika 5B haya.
View attachment 2651531
Nijuzeni Chanel nzuriNi wewe ndio unayahitaji hayo
Sasa edit nayo unapewa LIMIT huko Whatsapp, Telegram si tu unaweza kuedit messo muda wowote ila unaweza kuifuta kabisa hadi kwa uliyemtumia kama bado hajaifungua na ukatuma upya... Telegram ina features mingiiii sana za kipekee
Nani kasema Telegram sio maarufu?Marekan wanajua biashara sana unafikiri walishindwa kuziweka tangia mwanzoni? Hawakushindwa lakin unaweka kila kitu kwa wakati mmoja utakuwa na jipya gan uko mbeleni saiv wanafanya update wasap inazidi kuwa maarufu lakin jiulize telegram mbona sio mmarufu licha ya uwepo wa ivo vyote
Marketing braza.
Hakuna cha marketing strategy hapo, kuingiza hizo features ni swala la kiutaalam zaidi so inategemea una watu gani ktk kitengo, pia SERA za kampuni/Mtandao zinasemaje? Ndio maana Google kila siku wanabadiri sera za matumizi ya Huduma zao hasa upande wa Youtube au huwa husomi?Marekan wanajua biashara sana unafikiri walishindwa kuziweka tangia mwanzoni? Hawakushindwa lakin unaweka kila kitu kwa wakati mmoja utakuwa na jipya gan uko mbeleni saiv wanafanya update wasap inazidi kuwa maarufu lakin jiulize telegram mbona sio mmarufu licha ya uwepo wa ivo vyote
Marketing braza.