Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
karibu tena mkuu.Nilikuwa kifungoni ndo nimetoka leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu tena mkuu.Nilikuwa kifungoni ndo nimetoka leo.
Ni kweli 🔥Nyinyi ndio mnatabia ya kuview hata status tulizo futa.
Njoo PM Depal,Watumiaji wa un'official WhatsApp tushayazoea hayo yote..
Wewe ndo ulikuwa hujayaona ni zaidi ya mwezi sasa. Uzembe wa kuapdateHapana hawakuwa na option ya kuongeza kasi ya kucheza sauti yaani ×1 kasi ya sauti ya kawaida ×1.5 unaongeza kasi pamoja na ×2 .
Pia kutuma ujumbe na kujifuta automatiki hawakuwa nayo.
hawakuwa na option ya kuongeza kasi ya kucheza sauti yaani ×1 kasi ya sauti ya kawaida ×1.5 unaongeza kasi pamoja na ×2 .
Pia kutuma ujumbe na kujifuta automatiki hawakuwa nayo.
Tangu nianze kuitumia hiyo huduma nina karibia mweziMbona aya mabadiriko yana muda sana au unazungumzia mabadiriko gani.?.
Tangu nianze kuitumia hiyo huduma nina karibia mwezi
Hii mbona ipo kaka, au kwa kuwa mm natumia GB watsup?Hapana hawakuwa na option ya kuongeza kasi ya kucheza sauti yaani ×1 kasi ya sauti ya kawaida ×1.5 unaongeza kasi pamoja na ×2 .
Pia kutuma ujumbe na kujifuta automatiki hawakuwa nayo.
Hakuna jipya linalohitajika kwa watumiaj kwa hay yote tajwa apo juu.Feature ziko telegram na sio hao wahuni
Kuna nini?Njoo PM Depal,
Tuyajenge.Kuna nini?