Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa una gb what's app ungebaki nayoHii ni mbaya sana.
Kuna mwanamke wangu alinitumia video tamu ya Utupu.
Bahati mbaya sana niliiangalia mara moja tu pasipokutulia.. Kumbe kai-set on view once.
Kuja kutulia, naona ipo 'opened'. Video hakuna. Nilisikitika sana.
Kwan official WhatsApp haichukui taarifa za mtu??? We app inakuomba access mpaka ya contact, what do u think?Hizo zinachukua vitu muhimu pasipo ridhaa na zimejaa udukuaji sana.
Why do u prefer telegram over tsup?Hakuna jipya linalohitajika kwa watumiaj kwa hay yote tajwa apo juu.Feature ziko telegram na sio hao wahuni
Kipindi FB inanunua WhatsApp telegram ilikuwa haija hit kama ilivyo sasa, hata hivyo watu wengi si watumiaji wa telegraph hivyo FB aliangalia soko zaidi nasi ubora.Nilitegemea fb wanunue telegram badala ya whatsay. Am disappointed
Haya maboresho yamekuwepo muda mrefu zaidi ya miezi 2.Hapana hawakuwa na option ya kuongeza kasi ya kucheza sauti yaani ×1 kasi ya sauti ya kawaida ×1.5 unaongeza kasi pamoja na ×2 .
Pia kutuma ujumbe na kujifuta automatiki hawakuwa nayo.
Uki hack utaipata hiyo video, sema labda ushindwe kuitunza for future referenceHii inahamasisha Uasherati na Uzinzi. Picha Za Wake za Watu zitatumwa Na Kufutika Bila Kushikwa
Sawa mkuu lakini hapo juu nimeeleza kuwa tarehe tajwa hapo juu walilazisha kila mtumiaji kuupdate.Haya maboresho yamekuwepo muda mrefu zaidi ya miezi 2.
Muwe mna update apps zenu mara kwa mara.
Mimi nafanya apps updates kila wiki, nimeona hayo mabadiliko toka mwezi wa 7.
Ukifanya apps updates unapata the best experience ya hizo apps. Mimi kila wiki nafanya apps updates. Jana usiku tu nimetoka kufanya updates.Sawa mkuu lakini hapo juu nimeeleza kuwa tarehe tajwa hapo juu walilazisha kila mtumiaji kuupdate.
Asante mkuu kwa ushauri ngoja iwe tabia yangu kufanya hivyo.Ukifanya apps updates unapata the best experience ya hizo apps. Mimi kila wiki nafanya apps updates. Jana usiku tu nimetoka kufanya updates.
Unafurahia apps na unafurahia simu ukiwa na tabia ya kufanya updates.
Naomba link ni update naona inanisumbua toka asubuhiOfficial WhatsApp kila kitendo inaomba ridhaa ya mhusika pasipo kuchukua hivyo hivyo.
Mtakubali lini kwamba whatsapp ni whatsapp tu, haina na haihitaji mshindani, au ushabiki lazima?[emoji28][emoji28]. Telegram hata waanze kugawa ubwabwa haiwezi kuizidi Whatsapp banaHakuna jipya linalohitajika kwa watumiaj kwa hay yote tajwa apo juu.Feature ziko telegram na sio hao wahuni