supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Mchooni, Msalani, mnyaji, mkata kimba au mkimba kimba! [emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe si kinyonga tu anayebadilika kulingana na mazingira.
Kumbe hata binadamu pia hubadilika!
Nitakupa mifano
maana wewe kwa ubishi sikuwezi;
Mtu akiwa kwenye
Basi unaitwa Abiria,
Mtu akiwa stendi ni Msafiri,
Akiwa darasani Mwanafunzi,
Akiwa Garage ni Fundi,
Akiwa Shamba Mkulima,
Akiwa Kanisani Muumini,
Akiwa gerezani mfungwa,
Akiwa hospitali mgonjwa,
Akiwa kwenye jeneza marehemu.
Sasa kuna kitu kinaniumiza sana kichwa:
Je!, mtu akiwa chooni anaitwaje?[emoji12] [emoji13]
Umepata[emoji736]Mchooni, Msalani, mnyaji, mkata kimba au mkimba kimba! [emoji23][emoji23][emoji23]
FUMANIZI.ha hahaha