supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Wee jamaa ni shida hahahahahahahahJuma: unauza nini? Muhudumu: kahawa, chai, maziwa,
Juma: mmetengeneza vitafunio gan? Muhudumu: andazi, sambusa, ugali na kadhalika.
Juma: Haya niletee chai ya rangi na makadhalika mawili! [emoji23][emoji23][emoji23]
Haka kamesemo ka MUNGU ANAKUONA kameendelea kuonesha kuwa mungu ni mfano wa kutajwa mpk kwenye upuuzi. Pitia amri 10 za Mungu upya.Halafu unauliza kama Millard kashachukuliwa dozi Milembe.
Mungu anakuona.
Pengine mungu ninaemtaja hapo siyo unayemsema wewe.Haka kamesemo ka MUNGU ANAKUONA kameendelea kuonesha kuwa mungu ni mfano wa kutajwa mpk kwenye upuuzi. Pitia amri 10 za Mungu upya.
Kuna tofauti kati ya Mungu na mungu. Mungu ni muumba wetu. Ila mungu ni kitu cha kuabudiwa na watu furani. God and godsPengine mungu ninaemtaja hapo siyo unayemsema wewe.
Yeahasante kwa kufungua uzi huu umezawadiwa
HASIRA za ghafla!!!!!!!.
ahahayaj supermakert hadi kuna mtu kacopy uchesh wako humu we ni noma duh.Juma: unauza nini? Muhudumu: kahawa, chai, maziwa,
Juma: mmetengeneza vitafunio gan? Muhudumu: andazi, sambusa, ugali na kadhalika.
Juma: Haya niletee chai ya rangi na makadhalika mawili! [emoji23][emoji23][emoji23]
ahahahahshaJama alimpa lift mwanamke,ikawa kila akibadilisha gia mkono unagusa paja la yule binti, yule mwanamke akawa analalamika na kusema kasome mathayo 7:7, jamaa akagopa na kuacha kumshika, ile kufika nyumbani akakimblia bibilia kufungua akakuta imendikwa OMBENI NANYI MTAPEWA!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]