supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Kuna kaka mmoja alimchukua dada mmoja na
kwenda nae katika kioksi kwa ajili ya mazungumzo. Walipofika na kukaa tu katika vitu yule kaka akamuuliza yule dada,
“unatumia whatsapp?”, yule dada akajibu majestikale kabisa , “ndio natumia sasa sana za baridi, nimeachana na bavaria siku hizi[emoji23][emoji23][emoji23]
kwenda nae katika kioksi kwa ajili ya mazungumzo. Walipofika na kukaa tu katika vitu yule kaka akamuuliza yule dada,
“unatumia whatsapp?”, yule dada akajibu majestikale kabisa , “ndio natumia sasa sana za baridi, nimeachana na bavaria siku hizi[emoji23][emoji23][emoji23]