Whatsssssss!!!!!!!!!????

Kuna tofauti kati ya Mungu na mungu. Mungu ni muumba wetu. Ila mungu ni kitu cha kuabudiwa na watu furani. God and gods
Kwenye keyboard kila ukianza aya mpya automatically itaanza na herufi kubwa, ndicho kilichotokea kwenye post yangu.
Inawezekana niliyemtaja siye unayemmaanisha wewe.
 
Mlevi alipanda dala dala kutokana na ulevi wa kupindukia konda akamwambia: kwa staili hii huwezi kufika mbinguni"
mlevi akadakia kumbe mnaenda mbinguni nishusheni mimi naenda klabu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoto Akiongea Na Babaye,
Mtoto: Eti Baba Ukikuta Noti Ya Elfu Kumi Na Elfu Tano Utaokota Ipi?
Baba: We' Bwege Nini Naokota Ya Elfu Kumi.
Mtoto: We Ndio Bwege Baba, Mimi Naokota Zote.
Baba: Daah![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa kapigiwa simu na demu wake.
DEMU: Naomba hela nimpeleke mdogo wangu hospitali kang'atwa na nyoka
JAMAA: Ebu mpe simu nyoka niongee nae vizuri[emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JANE: beby vipi nimekumiss
JUMA: hata Mimi beby nambiee?
JANE: ule ugonjwa wako ambao ukiombwa hela unajibu maneno hayaeleweki umepona?
JUMA: ndio beby naendelea vizuri
JANE: naomba sh.elfu 20 ya salon
JUMA: ΠΠ¶§§π∆~•§¶§πΠ
JANE: ndo mini tena?
JUMA: umenitonesha beby
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mke Alikuwa Anaongea Na Mume Wake
MKE: Mume Wangu Unanipenda Kweli?
MUME: Sana.
MKE: Unaweza Hata Kuua Simba Kwa Ajili Yangu?
MUME: Daaah Kuua Simba Hiyooo Hapana.
MKE: Basi Kama Kweli Unanipenda Naomba Niiangalie Whatsapp Yako.
MUME: Hivi Uyo Simba Yuko Wapi Nikaue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwalimu Aliingia Darasani Akamuuliza Juma
MWALIMU: Juma Ebu Fikiria Upo Kwenye Msitu Mkubwa Sana Unatembea Halafu Ghafla Wanatokea Wanyama Wakubwa Sana Wamekuzunguka Pande Zote We Utafanyaje?
JUMA: Mbona Rahisi Sana Nitaacha Kufikiria[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwalimu Mgeni Wa Sayansi Aliingia Darasani Na Kuchora Picha Ya Moyo Kwakua Hakuwa Mchoraji Mzuri Picha Ikaonekana Ovyoo
Kwa Kujiamini Akawauliza Wanafunzi Hiyo Ni Picha Ya Nini
Mwanafunzi 1: Ni Makalio.
Mwanafunzi 2: Ayo Ni Makalio.
Mwanafunzi 3: Jamani Si Makalio Kabisa.
Mwalimu Kwa Hasira Akaenda Kushtaki Kwa Mwalimu Mkuu Kwamba Wanafunzi Wanaleta Mzaha Darasani,
Mwalimu Mkuu Akaenda Darasani Na Kuanza Kufoka "Kwanini Mnamchezea Mwalimu?."
Wanafunzi" Hatumchezei."
Mwalimu Mkuu" Kama Hamumchezei Nani Kachora Makalio Ubaoni."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwalimu Mgeni Wa Sayansi Aliingia Darasani Na Kuchora Picha Ya Moyo Kwakua Hakuwa Mchoraji Mzuri Picha Ikaonekana Ovyoo
Kwa Kujiamini Akawauliza Wanafunzi Hiyo Ni Picha Ya Nini
Mwanafunzi 1: Ni Makalio.
Mwanafunzi 2: Ayo Ni Makalio.
Mwanafunzi 3: Jamani Si Makalio Kabisa.
Mwalimu Kwa Hasira Akaenda Kushtaki Kwa Mwalimu Mkuu Kwamba Wanafunzi Wanaleta Mzaha Darasani,
Mwalimu Mkuu Akaenda Darasani Na Kuanza Kufoka "Kwanini Mnamchezea Mwalimu?."
Wanafunzi" Hatumchezei."
Mwalimu Mkuu" Kama Hamumchezei Nani Kachora Makalio Ubaoni."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmasai Flani Alikodi Chumba Kwenye Guest House,
Alipoenda Kulala Akakuta Chandarua Kimeshachomekwa Kabisa Kwenye Kitanda,
Asubuhi Mhudumu Akaingia Kufanya Usafi Akamkuta Masai Amelala Chini Akamuuliza "Eeeh Vipi Masai Mbona Umelala Chini?"
Masai Akajibu"We Unafikiri Masai Muujingaaaaaa Sana Alale Kwenye Mutegoo."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JAMAA: Oyaa Lucas Vipi Kuhusu Deni Langu?
LUCAS: Sina Msg Nitakujibu Baadae.
JAMAA: Sasa Hiyo Uliyotuma Si Ungenijibu?
LUCAS: Daah Ilibaki Moja Tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwalimu Aliingia Darasani Na Kumuuliza Mwanafunzi
MWALIMU: Hivi Ukiambiwa Uchague Kati Ya Fedha Na Akili Utachagua Kipi?
MWANAFUNZI: Fedha.
MWALIMU: Nilijua Tu We Mjinga Sana, Ningekuwa Mimi Ningechagua Akili.
MWANAFUNZI: Ni Sawa Lakini Mwalimu Kila Mtu Si Anachagua Asichokuwa Nacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoto Akiwa Nje Bustanini Anaita Kwa Nguvu,
Mtoto: Baba,baba,baba.
Baba: Ndio Mwanangu?
Mtoto: Gari Letu Limeibiwa.
Baba: Umefanikiwa Kumwona Aliyeiba?
Mtoto: Hapana Ila Nimefanikiwa Kuandika Namba Ya Gari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mc Kwenye Harusi....
Mc: Ngoja Niwape Sifa Za Bibi Harusi Yaani Bibi Harusi Huyu Havai Kabisa Nguo Za Ndani.
( Watu Wakaduwaaaaa )
Mc: Narudiaa Tena Wala Sijakosea Havai Nguo Za Ndani Yeye Nguo Zake Ni Kutoka Marekani,uingereza Na Ujerumani.
Watu Wote: Hahahahaha Kumbeeeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
HEKAYA ZA ABUNUASI[emoji23][emoji23]
Abunuasi Aliwaambia Watu Ya Kuwa Kila Siku Anatembelewa Na Malaika Na Taarifa Hizo Zikaenea Zikamfikia Mfalme,
Mfalme Akamuita Na Kumuuliza Na Abunuasi Akakubali Mfalme Akamwambia Ataenda Kwa Abunuasi Kumuona Malaika Na Endapo Anamdanganya Anamtia Gerezani,
Basi Mfalme Akaenda Mpaka Nyumbani Kwa Abunuasi Na Abunuasi Akampa Masharti Mbele Za Watu "mfalme Usijali Utamuona Malaika Ila Kuna Masharti Ya Kumuona Kama Wewe Ni Mtoto Haramu Huwezi Kumuona Kabisa Na Pia Ukiingia Lazima Uweke Dhahabu Mlangoni" Mfalme Akakubali Na Abunuasi Akaingia Ndani Akachukua Kiti Chini Ya Kiti Akaweka Viatu Na Juu Kofia Na Akatandika Vazi Zuri Yani Kama Mtu Amekaa Halafu Akamkaribisha Mfalme,
Mfalme Alipoingia Hakumuona Malaika Ila Alishindwa Kusema Hajamuona Aliogopa Kuonekana Yeye Ni Mtoto Haramu Hivyo Akatoka Mle Ndani Na Kusema Amemuona Malaika Na Abunuasi Akawa Amepata Dhahabu Kiulaini.
 
Jamaa Mmoja Mwenye Mawazo Sana Alikuwa Amekaa Ofisini Kwake Akiwaza Kwa Kina Sana,
Mara Ghafla Akaja Jamaa Huku Anapiga Kelele "Juma, Juma Mwanao Ana Amegongwa Na Gari Na Kufa"
Jamaa Akainuka Ghafla Akaenda Kufungua Dirisha Na Kujitupa,
Alipokuwa Hewani Anashuka Chini Akakumbuka Ofisi Yake Ipo Ghorofa Ya 7,
Na Akakumbuka Hana Mtoto Anaitwa Ana Na Akakumbuka Pia Hajaoa,
Alipokuwa Amebakisha Ghorofa Mbili Kufika Chini Akakumbuka Jina Lake Sio Juma[emoji12][emoji13][emoji13]
 
Jamaa Mmoja Bahili Sana Alienda Gengeni,
Bahili: Ndizi Moja Sh.Ngapi?
Muuzaji: Ndizi Moja Sh.100.
Bahili: Nipe Kwa Sh.60
Muuzaji: Iyo Sh.60 Unapata Maganda Tu.
Bahili: Shika Sh.40 Nipe Ndizi Tu Ayo Maganda Ya Sh.60 Baki Nayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…