supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
ha hahaha tuma nauli ndiyo ufe
Me nataka rambirambi tu!ahahah poleni
wapendwa mara moja moja c mbaya
Wakati mama yako anahangaika kukuombea wewe na jina lako ni CHAUSIKU MWAKAKUYA.....lakini umebadilisha na kujiita Miss chaga, geniverous, me too..ha hahaha tuma nauli ndiyo ufe
watanipata kwenye tigo pesaWakati mama yako anahangaika kukuombea wewe na jina lako ni CHAUSIKU MWAKAKUYA.....lakini umebadilisha na kujiita Miss chaga, geniverous, me too..
Dada unawapa tabu Malaika kukutafuta.
Sipatagi hasira kwa namna hiiasante kwa kufungua uzi huu umezawadiwa
HASIRA za ghafla!!!!!!!.
_*Wanawake wa Tz bana! Wao hawakumchagua Anna Mgwira wa ACT alafu wanataka wa Marekani wamchague Hillary... hebu msituchoshe..[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nimefika hapa Polisi Station Minanzini nimefarijika sana baada ya kumkuta askari hapa Kaunta anasoma Biblia nikajisikia fahari kuona anasoma neno kituo cha Polisi. Nikamuukiza Afande ni Nani alimuua Goliathi? Akasema Muulize Afande Mwita mlango namba 2 ndo anahusika na Kesi za mauaji.[emoji23][emoji23]
ujue nawe unatupa tabu tunaulizia apple lipo unasema hamna huku umebandika ni supermarket. teh teh tehWakati mama yako anahangaika kukuombea wewe na jina lako ni CHAUSIKU MWAKAKUYA.....lakini umebadilisha na kujiita Miss chaga, geniverous, me too..
Dada unawapa tabu Malaika kukutafuta.
asante kwa kufungua uzi huu umezawadiwa
HASIRA za ghafla!!!!!!!.
Wakati mama yako anahangaika kukuombea wewe na jina lako ni CHAUSIKU MWAKAKUYA.....lakini umebadilisha na kujiita Miss chaga, geniverous, me too..
Dada unawapa tabu Malaika kukutafuta.
Ntakupiga ban...ahahah poleni
wapendwa mara moja moja c mbaya
Usipoleta naenda kusema kwenye haki za jamiingoja nikamuombe anko
KUNA WADADA WANAJIONA WAZURII YANI HATA MOTONI WATATAKA WACHOMWE NA MICROWAVE[emoji2][emoji2]Ntakupiga ban...
Nyie madem mtuoneage huruma jamani. Sasa unamuomba mtu hela ya salun laki tatu. Hata operation ya kichwa haifiki hiyo hela[emoji1] [emoji1]ha hahaha tuma nauli ndiyo ufe
Dawa yao mgao wa umeme ukuanza ni mwendo wa kuwapalia mkaa tu!!...[emoji2]KUNA WADADA WANAJIONA WAZURII YANI HATA MOTONI WATATAKA WACHOMWE NA MICROWAVE[emoji2][emoji2]