Kijana Ndo Kwanza Kaajiriwa Kuuza Dukani,
Siku Hiyo Mwenye Duka Akiwa Kakaa Kwenye Kiofisi Cha Ndani Akasikia Kijana Wake Akimjibu Mteja
KIJANA: Kwakweli Mama Hatuna Kabisaa,na Nikiangalia Dalili Sidhani Kama Tutakuwa Nayo Karibuni...
Mwenye Duka Katoka Haraka Kwenye Ofisi Na Kumuwahi Mteja.
MWENYE DUKA: Hapana Mama.Kijana Wangu Amekosea,hiyo Tumeishiwa Jana Tu Na Nimekwishaagiza Oda Kubwa Toka China, ukija Wiki Ijayo Utapata Kila Aina. Kisha Akamvuta Kijana Pembeni....
MWENYE DUKA: Nakwambia Mwiko Nasema Mwiko Katika Duka Langu Kusema Kitu Hakuna Umeona Nilivyojibu? Na Huyu Mama Sasa Amepata Imani Na Duka Hili.
Haya Huyu Mama Alikuwa Anaulizia Nini?
KIJANA: Mzee Ulitukatisha Tulikuwa Tunaongelea Mvua[emoji12][emoji13][emoji13][emoji13]