supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa kaambiwa na demu wake
Happy birthday baby
Jamaa kajibu: happy birthday too
Kizungu witooo
Mamaaaaaaaaa mbavu zangu jamaniUsione mpenzi wako anakusisitiza mkaoge pamoja udhani yuko romantic sana. ukweli ni kwamba anahakikisha hupitii simu yake akiwa bafuni[emoji13] [emoji13]
Sio kwa kutesa mbavu zangu hivi.DULLY : - Ugali shilingi ngapi.!
MAMA LISHE: - Ugali mkubwa 1000/= Mdogo 700/= ugali wa jana 400/=
DULLY: - Nifungie mikubwa miwili ntakuja kuchukua kesho.
MAMA LISHE: - Nyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poa mkuu nipe dkk 3 tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]10 hrs mkuu Supermarket hujaweka vichekesho vipya? Jitahidi please utupie vingine. Wengine ndo imegeuka relaxation yetu and we are hooked. Hope you are OK!
Mamaaaaaaaaa mbavu zangu jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio kwa kutesa mbavu zangu hivi.
Mungu anakuona
Jamaa alipita sehemu
isiyoruhusiwa katika kambi ya jeshi na akapewa adhabu ya kuhamisha matofali 1000! Jamaa akajitahidi na akabeba matofali 900 na akawa hoi!
Ghafla akakumbuka kuwa mkuu wa kambi ni rafiki yake walisoma wote school, akampigia simu.
JAMAA: vijana wako wamenipa adhabu ya kuhamisha matofali 1000!
MKUU: hao wajinga kweli hawajui tunavyofahamiana!
wasikusumbue mimi ndiyo mkuu wao, zirudishe pale ulipozitoa mwanzo then uje ofisini tuonane. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]