oyayakaranga
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 677
- 396
[emoji5] [emoji4]Mjukuu kakuta bibi ana anika pichu akauliza, bibi hiyo nini? ili kuua soo bibi akamjibu "kitambaa changu najifutiaga mikono nikimaliza kunawa". Siku 3 baadaye bibi akaikosa pichu yake sehemu alipo ianika,
BIBI: "umekiona wapi kile kitambaa changu?"
MJUKUU: "kiko sebuleni nimewapelekea wageni wajifutie mikono baada ya kula. [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha haWatoto wawili walikuwa
kichakani wakimpiga chabo mdada aliyekuwa akioga mtoni. Mara ghafla
mtoto mmoja akatoka nduki, na yule mwingine bila kupoteza muda akatoka mbio kuelekea
alikoenda mwenzie. Alipomfikia mwenzie huku akihema akamwuliza ni kwa nini alitoka mbio?
Mwenzie akasema; Mama alinikataza kuchungulia wanawake wanaooga vinginevyo nitageuka jiwe, kwa hiyo nilitoka mbio baada ya kuhisi cha kukojolea changu kinaanza kukakamaa kuwa kigumu, nikajua ndo naanza kubadilika kuwa
jiwe. [emoji12][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji23] [emoji23] ndoalokuwa akiyatakaBinti alienda kwa daktari huku analia kwa uchungu! Mazungumzo yao yalikuwa hivi:
DOKTA: Unalia nini?
BINTI: Nimemtukana boyfriend wangu kwa kumwambia yeye na mbwa mkubwa!
DOKTA: Heeee! Kwa nini?
BINTI: Alikuja na kunibusu!
DOKTA: Kama hivi? {Anambusu binti}
BINTI: Eeeh, hivyohivyo!
DOKTA:Halafu?
BINTI: Halafu akanishikashika matiti.
DOKTA: Kama hivi? {Anamshika}
BINTI: Eeh, hivyohivyo!
DOKTA: Eeh...
BINTI: Halafu akanivua nguo zote na kunipandisha kitandani, naye akavua!
DOKTA: Kama hivi?
BINTI: Eeh!
DOKTA: halafu...
BINTI: Tuka do mavituz!
DOKTA: Ka- -- aaaa-- ma hi-viiiiiiiiiiiiiiiiii??
BINTI: Eeeehhh-arrrrsghhh!!
DOKTA: Halafu?
BINTI: Halafu huyo mvulana akaniambia ameathirika
na UKIMWI,na kunionesha vyeti!!!!
DOKTA: Aaaaaaaaaahhhh, wewe binti ni mbwa,shetani na mwanaharamu mkubwa!!!!!!!!! [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23]
Sister marieta alikuwa makin kujua kinachoelelea(Sista Benadeta akimsimulia sista Marieta yaliyomsibu alikotoka).>>>
SISTA BENADETA: Basi bwana, nikawa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza, kila kona ninayokata na yeye yumo, nikajua ana malengo mabaya na mimi a.k.a anataka kunibaka>>>> SISTA MARIETA: Ukachukua uamuzi gani dadangu?
SISTA BENADETA: Si ndo nikaanza kutimua mbio, lakini kwa sababu yeye ni mwanaume akawa anazidi kunikaribia kwa kasi, nikaamua kumkomoa, nikapandisha gauni juu kabisa na yeye akashusha suruali na boxer yake chini magotini.>>> SISTA MARIETA: Hapo ndo patamu, enhe nambie kilichofuata?
SISTA BENADETA: Si unajua tena, mwanaume aliyeshusha suruali na boxer hadi magotini hawezi kukimbia sawa na mwanamke aliyeinua gauni juu, kwa hiyo nilimshinda mbio na ndo maana nimefika salama hapa.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]