supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
MAMBO YA FEDHAtafuta pesa sasa
ujue kwamba nimeisoma nakuandikia kwa maneno ............. nine billion,eight hundred thirty six million,two hundred eighty seven thousand, six hundred thirty six only.MAMBO YA FEDHA
Kuna jamaa alipewa shilingi 9836287636 ...acha uvivu, najua hujasoma ni kiasi gani hicho cha fedha na mbaya zaidi hujagundua kwamba katikati ya namba hizo kuna herufi A...safi sana, najua umeangalia tena kuiona hiyo herufi, bahati mbaya hujaiona.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Upo makini kwenye pesa[emoji23] [emoji23]ujue kwamba nimeisoma nakuandikia kwa maneno ............. nine billion,eight hundred thirty six million,two hundred eighty seven thousand, six hundred thirty six only.
ha haha pesa kitu ingine hata nikiwa nipo tungi huwa inakata ghaflaUpo makini kwenye pesa[emoji23] [emoji23]
Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaaha haha pesa kitu ingine hata nikiwa nipo tungi huwa inakata ghafla
ha hahahaJamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa
kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita
binti mmoja akamsogelea yule mke wa
jamaa akamnong'oneza:- "AKULIPE KABISA KABLA
HUJALALA NAYE, NI MGUMU KULIPA HUYOO!!
Kama unadate na mwanamke kila mkipanga kuonana anakuomba nauliha hahaha
WACHAGA NOMAha hahaha