Whatsssssss!!!!!!!!!????

Stori za wa DADA Wawili Ndani ya Basi Kuelekea TABORA:-

Dada 1: Je, Ungependa Mume wa Aina Gani?
Dada 2: Awe Billionea.
Dada 1: Je, Ukimkosa?
Dada 2: Awe Millionea.
Dada 1: Je, Kama Hatopatikana Huyo?
Dada 2: Basi Mwenye Millioni Anaweza Kufaa
Dada 1: Na kama Hutofanikiwa Kumpata wa Hivyo?
Dada 2: Mwenye Laki Tano Basi!
(mjinga Mmoja Alikuwa Siti ya Nyuma Amelala Akamnong'oneza Jirani Yake) "Wakifika Kwenye BUKU Niamshe!'[emoji1]
 
Duh!![emoji23] [emoji38] [emoji23] [emoji38] [emoji23] [emoji38] [emoji23] [emoji38] Uwwiiii,Mkuu taratibu aiseee maana mbavu zishapishana[emoji31]


KUNA WADADA WANAJIONA WAZURII YANI HATA MOTONI WATATAKA WACHOMWE NA MICROWAVE[emoji2][emoji2]

Nyie madem mtuoneage huruma jamani. Sasa unamuomba mtu hela ya salun laki tatu. Hata operation ya kichwa haifiki hiyo hela[emoji1] [emoji1]
 
Madem mnavaa earings kwa masikio, mapua, ulimi, kitovu, sijui kwa uso.manecklaces ka mia mbili bangili mikononi handbag nayo ina makorokoro elfu2..sasa itokee ujikwae udondoke unatoa sauti kama kabati la vyombo limedondoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chukua mwaka aliokufa Nyerere 1999 kisha toa na mwaka uliozaliwa wewe ongeza na miaka 17 ya kifo chake utapata umri wako, hapo ndiyo utajua kweli alikuwa baba wa taifa

.[emoji122]�[emoji122]�[emoji122]�[emoji122]�.IKIJA TOFAUTI WW SIYO RAIA WA TZ..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwenye zizi la Ng'ombe, mke akawa anashangaa dume linavyopanda jike.
Akamuuliza dk wa mifugo. "Hivi hili dume hupanda mara ngapi kwa siku? "
Dk. " kwa wastani mara sita kwa siku "
Mke akamgeukia mumewe.- *" Unaona! ...."
Mume akajifanya hajasikia lolote.... kisha akamgeukia Dk. wa mifugo na kumuuliza, " Hivi hizo mara sita kwa siku huyu dume huwa analipanda jike hilo hilo? "
Dk. "Hapana, huwa anapanda majike tofauti...!!"
Mume akamgeukia mkewe huku akitabasamu... "Unaona! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ki shule shule boarding
.
Mlinzi: Tokeni bwenini muende prepo
Mimi: Mimi ni mgonjwa.
Mlinzi: Unaumwa na nini hiyo?
Mimi : Bionomial Nomenclature.
Mlinzi : Eeh, lala tu kijana. Hiyo kitu ni
mbaya. Imeuwa watu South Africa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
AL_SHABAB
AL_QAEDA
Hata kwenye Mathematics kuna kikundi cha kigaidi AL_GEBRA na ndo sababu ya mimi Kuchukia Hesabu
Sipendagi Ugaidi[emoji12] [emoji12]
 
Nimekutana polisi mjini wakaniuliza mbona unatembea usiku? Nami nikawauliza kwani usiku watu wanaogelea?.

Sasa hivi nipo zangu kwenye defender yao nafikiri wananipeleka nyumbani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12]
 
mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta usoni hapaki lakini akipita na khanga yake moja tuu nyumba inatetemeka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huu mchezo hautaki mekapu
 
Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji "Nasikitika kukujulisha kuwa binti uliyemlea kwa miaka 20 sio mtoto wako" Mume akajibu "Duh! Nashukuru Mungu kwani nilikuwa nikiumia rohoni kila siku kwamba natembea na binti yangu[emoji13] [emoji13]
 
Teacher : Our topic for today is photosynthesis,,,,Ben what is photosynthesis??
Ben : Photosynthesis is our topic for today.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mke: Naelekea london, nikuletee zawadi gani?
Mume: kitu gani unaweza niletea wewe?
Mke: we omba Alafu utaona.
Mume: Niletee msichana wa kizungu.
Mke: (mke akaendaLondon na kurudi)
Mume: zawadi yangu iko wapi?
* Mke:* Subiri ndani ya miezi 9!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
BABA: we ulisema NECTA umepata ngapi?

MPONJI: One ya 9

BABA: Mi mbona nimeangalia hapa kwenye simu nimekuta three ya 15?

MPONJI: Hzo point 6 wamekata TRA kama VAT.

BABA : Pumbavuuuuu mkubwa ww[emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…