When a woman loves........

When a woman loves........

naipenda hii thread kwakuwa itaniambia nani ni PM as potential husband na nani nimpotezee......:laugh::laugh:

ha ha ha huoni speed yake ya comments ndogo? watu washasoma alama za nyakati lol. Unafikiri kama ningekuwa sijaoa ninge comment?
 
Try it guys!
Nani amewahi kuguswa na penzi la kweli la mwanamke? Hebu jitokeze useme tukupatie zawadi yako maana mijadala mingi imezidi kuponda mahusiano.Unachotakiwa kufanya ni kutuambia kwa kifupi sana yafuatayo:
1. Aina ya uhusiano ( ndoa, uchumba)
2. Unajuaje au ulijuaje ni penzi la kweli?
3. Na wewe kwa kutambua hilo umemfanyia nini kama alama ya shukrani na upendo wako kwake ili penzi lizidi kustawi?

Ukweli utabaki kwamba hakuna hisia nyingine yeyote tamu aliyotunukiwa mwanadamu inayoshinda hisia ya kupendwa. Tuachane kidogo na yale mahusiano yenye utata ya kupendwa kwa sababu ya mali au kitu tulenge katika yale mahusiano ya penzi la kweli.

Kwa kuonyesha mfano... nawatunuku akina kaka wote walio kwenye mahusiano matamu au waliowahi kuguswa na penzi la kweli la mwanamke wimbo wa R. Kelly - "When A Woman Loves....."
When a woman loves
She, she loves for real
When a woman loves
She, she, she loves for real
She took me back
After I broke her heart
About a thousand times
She gave her life to me
With no regrets, she followed me
And she, and she, the girl she raised me
And I'm forever indebted, I'm forever indebted, I'm forever indebted to her cause
When a woman loves
She, she, she loves for real
When a woman loves
She, she, she loves for real
She filled my soul
With the very touch of her hand
She really did

And she's got more, more faith in me than a beach got sand
And I like to tell ha, I like to tell ha, that I'm forever indebted,, that I'm forever indebted, forever indebted
Cause when a woman loves
She, she, she loves for real
Yea, yea
See a woman loves
It would never die young
Even when I'm dead and gone, I'm gonna love her from the sky
Cause she's given me something that no other woman has given me (Whooooo)
When I think about you girl it makes me think
When, when, when, when a woman
When a
Woman
Loves
She loves for real (oh)
When a woman loves, loves, loves
I'm tellin you when she loves
She, she loves for real
Yea, yea, yea
When she loves (When she loves) (6X)
She (When she loves) (3x)
She loves for real



You remind me PERCY SLEDGE's 1966 song

When a man loves a woman
Can't keep his mind on nothin' else
He'd trade the world
For a good thing he's found
If she is bad, he can't see it
She can do no wrong
Turn his back on his best friend
If he puts her down

When a man loves a woman
Spend his very last dime
Trying to hold on to what he needs
He'd give up all his comforts
And sleep out in the rain
If she said that's the way
It ought to be
 
ha ha ha huoni speed yake ya comments ndogo? watu washasoma alama za nyakati lol. Unafikiri kama ningekuwa sijaoa ninge comment?


AW,
Hongera kwa kumudu kupandisha penzi hadi ndoa.
Pipo mbona hamtujibii maswali yetu mnaleta porojo zingine tu? Turudi kwenye mada tafazali.WHEN A WOMAN LOVES..... SHE LOVES FOR REAL.... haya tueleze ulivyopendwa kiukweli na lady wako wa ukweli!
 
I will be more than happy, That will be the best news ever but i don't think you can!

Don't go away.... u never know what may come your way as a surprise coz so far u r leading ...
Remember there is a reward for the best testimony!!!
 
AW,
Hongera kwa kumudu kupandisha penzi hadi ndoa.
Pipo mbona hamtujibii maswali yetu mnaleta porojo zingine tu? Turudi kwenye mada tafazali.WHEN A WOMAN LOVES..... SHE LOVES FOR REAL.... haya tueleze ulivyopendwa kiukweli na lady wako wa ukweli!

Mi siwezi kusema saaaana coz am still SINGLE
Ngoja tusubili waje wazoefu na wenye wapenzi/wake tujifunze kutoka kwao . . . lol
 
ha ha ha huoni speed yake ya comments ndogo? watu washasoma alama za nyakati lol. Unafikiri kama ningekuwa sijaoa ninge comment?

mi nakupotezea.....tutabaki kuwa arsenal pamoja fans tu....l.o.l....natania AW,hongera zako....😛opcorn:
 
Mi siwezi kusema saaaana coz am still SINGLE
Ngoja tusubili waje wazoefu na wenye wapenzi/wake tujifunze kutoka kwao . . . lol

:coffee::coffee::coffee::coffee::twitch::twitch:
 
There was this lady,we loved each other and when we met she would look into my eyes and i could see the love they held for me and then she would smile and i would give everything up for how i felf at that moment unfortunately she died in an accident and i nearly died from the thought of loosing her and it took me along time to feel ok,she will always live in my heart.
 
There was this lady,we loved each other and when we met she would look into my eyes and i could see the love they held for me and then she would smile and i would give everything up for how i felf at that moment unfortunately she died in an accident and i nearly died from the thought of loosing her and it took me along time to feel ok,she will always live in my heart.

Pole Uporoto,glad you are okay now......:coffee:
 
Dah! Pole sana Mkuu. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi~AMEN
 
I've never been loved. I hope I can find my life partner here. Please pray for me, I'm dying of lonelyness.
 
Hii mada tamu kweli, najisikia kupendwa na kupenda tuu wknd njema
 
There was this lady,we loved each other and when we met she would look into my eyes and i could see the love they held for me and then she would smile and i would give everything up for how i felf at that moment unfortunately she died in an accident and i nearly died from the thought of loosing her and it took me along time to feel ok,she will always live in my heart.

Pole sana Uporoto. I hope God will help you get someone else.
 
I've never been loved. I hope I can find my life partner here. Please pray for me, I'm dying of lonelyness.

We will pray for you,be strong and patient Elisha......:coffee:
 
Back
Top Bottom