titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,571
- 9,789
jamaa alikuwa kama anataka kulia vile alafu kakutana na kina chalamagne wameshajipindiaga long time wanamkazia mimacho tu.Anaulizwa aseme nini tatizo yeye anang'angana na respek tu.then bora angekuja kavaa kigangsta gangsta basi kama mafioso flan ivi na overcoat flani la kibabe sasa yeye kaja kavaa kama awilo longomba anaenda kwenye shooMara ya kwamza kumuona Stunner kamaind mbaya mpk upara unatoa jasho, Brrrrrrrrrrrrr