When Kasie is Deeply and Madly in Love ๐Ÿฅฐ

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
Ooh Casanoovaaaa.....

Me and Romeo and Sarah and James......

Aahahahahahaa yaani hii wiki looh...!!

Ningekuwa nimeipuliza ningesema inanipelekesha kichwani Ila waaalaaahh...

Ni vile nimemengโ€™enywa kama mpiga gitaa anavyolihimili gitaa lake kiunoni au tumboni au magotini (akiwa amekaa) na kutoa miito inayofanya macho yarembuke, midomo na mashavu yatabasamu na kulegea kama mlenda.

Keeuuwiiiiiii mahaba hayaaa, hadi nahisi sukari imepitiliza mwilini kwa utamu ninaoupata.....

Si mara zote utanikuta jikoni nakorofisha, ila nikiguswa penyewe.....

Ni shaaaaah, utamu kunoga sukari, kitu na meza, chumvi kwa mbalii, ndimu kwa mbalii ๐Ÿ˜œ.

Najua wajuzi wa mapishi wako wengi, ila vile nikipika huku nimegibikwa na mahaba.....

Matokeo ya mapishi nayasikilizia uwanjani ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹



Biso na biso diko la diko ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹



Walau mshibe kwa picha ๐Ÿ˜‹.

Ila nimengโ€™atwaje vidolee, pamoja na kuweka umma na kisu Ila mtu kataka kulishwa na mkono.....

Watu wanajua kudeekaaaa....!

Mahaba Matata ๐Ÿ˜‰.
 
Sugar sukariii๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ
 
Mumeo anakula mema ya nchi MAAN sio kwa un@vyo jitahid kumhend mpaka na shawishik kuingia katika mahusiano
 
Aahhahhahaaa huwezi amini, huu wimbo sijawahi usikia mwanzo mwisho zaidi ya kwenye matangazo ni chorus tuu...

Wala hata kuangalia video yake sijawahi.
Ni wimbo mzuri.ila niwe mkweli tu..video yake haijanivutia sana kama ile video clip aliyokuwa amevaa kinguo cheupe sio ni tiktok ama nini.

Kupendana raha sna aise.๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ

Kula maisha mamaa kasie๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ
 
Inashauriwa kuhudhuria ^hupitala^ ili kuichunguza afya ya akili mara kwa mara ๐Ÿ™‚
 
Mumeo anakula mema ya nchi MAAN sio kwa un@vyo jitahid kumhend mpaka na shawishik kuingia katika mahusiano

Na anavyojua kudeka sasa....!!!!

Wema mdekezaji kampata na mahaba kedekede ahahaahahaaa.

Thanks ๐Ÿ™ on behalf, but get in there at your own risk ๐Ÿ˜œ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ