When Kasie is Deeply and Madly in Love 🥰

When Kasie is Deeply and Madly in Love 🥰

Mtoto wa kinyamwezi huyu ananichanganya sana..nipo tayari hata kumhonga covid-19 vaccine kutoka pfizer.


Aahahahhahahahaa

I trust your level of daring..... 😜

Ntaringajeee mweeeh, naona ntakuwa mwanamke wa kwanza kuhongwa covid 19 vaccine
 
Ni wimbo mzuri.ila niwe mkweli tu..video yake haijanivutia sana kama ile video clip aliyokuwa amevaa kinguo cheupe sio ni tiktok ama nini.

Kupendana raha sna aise.🥰🥰🥰

Kula maisha mamaa kasie🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️

Thanks dear, right now am living and enjoying the moment I have on my table.

🥂🥂.
 
Hs-sh
Na anavyojua kudeka sasa....!!!!

Wema mdekezaji kampata na mahaba kedekede ahahaahahaaa.

Thanks 🙏 on behalf, but get in there at your own risk 😜.
Hahaha hat mm kwa mtu kama ww ningedek had vya uvungun nile
 
Bibi kipendhii ulipotelea wapi? [emoji7][emoji7][emoji7]
Mahaba ktk ubora wake.
 
Baby wako wa leo kwa pishi ilo ni mhogo au bamia😅😅😅
 
Ooh Casanoovaaaa.....

Me and Romeo and Sarah and James......

Aahahahahahaa yaani hii wiki looh...!!

Ningekuwa nimeipuliza ningesema inanipelekesha kichwani Ila waaalaaahh...

Ni vile nimemeng’enywa kama mpiga gitaa anavyolihimili gitaa lake kiunoni au tumboni au magotini (akiwa amekaa) na kutoa miito inayofanya macho yarembuke, midomo na mashavu yatabasamu na kulegea kama mlenda.

Keeuuwiiiiiii mahaba hayaaa, hadi nahisi sukari imepitiliza mwilini kwa utamu ninaoupata.....

Si mara zote utanikuta jikoni nakorofisha, ila nikiguswa penyewe.....

Ni shaaaaah, utamu kunoga sukari, kitu na meza, chumvi kwa mbalii, ndimu kwa mbalii 😜.

Najua wajuzi wa mapishi wako wengi, ila vile nikipika huku nimegibikwa na mahaba.....

Matokeo ya mapishi nayasikilizia uwanjani 😋😋😋

View attachment 1708725

Biso na biso diko la diko 😋😋😋😋

View attachment 1708724

Walau mshibe kwa picha 😋.

Ila nimeng’atwaje vidolee, pamoja na kuweka umma na kisu Ila mtu kataka kulishwa na mkono.....

Watu wanajua kudeekaaaa....!

Mahaba Matata 😉.
chezea mahaba wewe ohooo😍😂
 
Back
Top Bottom