Wacha wee bibi wa mahaba.Mie tenaaa....
Kila leo nna pishi jipya la mchele....[emoji39][emoji39][emoji39]
Michele yote inapepetwa kuanzia mdundiko, kitumbo, wa Mbeya, basmati hadi VIP.....
Zege halilali....[emoji12]
Nenda kasahihishe mitahani huko...I and me ....Why not I and Romeo instead of writing me and Romeo?
Nani amekuambia anasahihisha mkuu? Unaniataki kwa chuki utadhani nilikuuliza wewe? Mimi nataka kujifunza na ndo maana nikauliza swali, wewe unaleta stress zako kwangu,jifunze kuwa positive kwa michango ya wenzako,mitandaoni sio mahali pa kuletea stress za ugumu wako wa maisha mkuu,Bali ni sehemu ya kupunguza mawazoNenda kasahihishe mitahani huko...I and me ....
.Nani amekuambia anasahihisha mkuu? Unaniataki kwa chuki utadhani nilikuuliza wewe? Mimi nataka kujifunza na ndo maana nikauliza swali, wewe unaleta stress zako kwangu,jifunze kuwa positive kwa michango ya wenzako,mitandaoni sio mahali pa kuletea stress za ugumu wako wa maisha mkuu,Bali ni sehemu ya kupunguza mawazo
Badili mtazamo wako mpendwa.
Kesie matata..hiyo ni mboga gani?... Maana naona viongo vya mboga TU...au Ni mboga ya bilinganya...au Ni kachumbari...
Au ndo inatwa stirfrie
HahahaOoh Casanoovaaaa.....
Me and Romeo and Sarah and James......
Aahahahahahaa yaani hii wiki looh...!!
Ningekuwa nimeipuliza ningesema inanipelekesha kichwani Ila waaalaaahh...
Ni vile nimemengβenywa kama mpiga gitaa anavyolihimili gitaa lake kiunoni au tumboni au magotini (akiwa amekaa) na kutoa miito inayofanya macho yarembuke, midomo na mashavu yatabasamu na kulegea kama mlenda.
Keeuuwiiiiiii mahaba hayaaa, hadi nahisi sukari imepitiliza mwilini kwa utamu ninaoupata.....
Si mara zote utanikuta jikoni nakorofisha, ila nikiguswa penyewe.....
Ni shaaaaah, utamu kunoga sukari, kitu na meza, chumvi kwa mbalii, ndimu kwa mbalii π.
Najua wajuzi wa mapishi wako wengi, ila vile nikipika huku nimegibikwa na mahaba.....
Matokeo ya mapishi nayasikilizia uwanjani πππ
View attachment 1708725
Biso na biso diko la diko ππππ
View attachment 1708724
Walau mshibe kwa picha π.
Ila nimengβatwaje vidolee, pamoja na kuweka umma na kisu Ila mtu kataka kulishwa na mkono.....
Watu wanajua kudeekaaaa....!
Mahaba Matata π.
Poleee....!
Muda wa kufungua funga ndo huwa naweka mapochopocho.
Aahhahhahaaa huwezi amini, huu wimbo sijawahi usikia mwanzo mwisho zaidi ya kwenye matangazo ni chorus tuu...
Wala hata kuangalia video yake sijawahi.
Kwani umeshapitiliza umri wa kuacha kuwa singo?
Na anavyojua kudeka sasa....!!!!
Wema mdekezaji kampata na mahaba kedekede ahahaahahaaa.
Thanks π on behalf, but get in there at your own risk π.
Aahahahahhaaa hujakosea hata.
Usitoe siri...... π
HahahaNa hapa tena ni ujumbe wa mwingine