When Kasie is Deeply and Madly in Love πŸ₯°

I can't stop loving you
Kila nikiona siredi zako mate yanijaaπŸ˜‚πŸ˜‚.uwe na usiku mnono kasie

Woow...!! Feel blessed πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡

Let love lead

Spread love and maintain the peace and harmony.
 
Mie tenaaa....

Kila leo nna pishi jipya la mchele....[emoji39][emoji39][emoji39]

Michele yote inapepetwa kuanzia mdundiko, kitumbo, wa Mbeya, basmati hadi VIP.....

Zege halilali....[emoji12]
Wacha wee bibi wa mahaba.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Kesie matata..hiyo ni mboga gani?... Maana naona viongo vya mboga TU...au Ni mboga ya bilinganya...au Ni kachumbari...

Au ndo inatwa stirfrie
 
Nenda kasahihishe mitahani huko...I and me ....
Nani amekuambia anasahihisha mkuu? Unaniataki kwa chuki utadhani nilikuuliza wewe? Mimi nataka kujifunza na ndo maana nikauliza swali, wewe unaleta stress zako kwangu,jifunze kuwa positive kwa michango ya wenzako,mitandaoni sio mahali pa kuletea stress za ugumu wako wa maisha mkuu,Bali ni sehemu ya kupunguza mawazo

Badili mtazamo wako mpendwa.
 
.
Kaanzishe darasa huko za kurekebisha grammer...

Ugumu wangu hiyo vipi?....

Kwendraaaaaaaa zako huko
 
Kesie matata..hiyo ni mboga gani?... Maana naona viongo vya mboga TU...au Ni mboga ya bilinganya...au Ni kachumbari...

Au ndo inatwa stirfrie

Rosti la mboga mboga Matata.......

In swags language, I would spell...

Matata Fried Veggies 🌢 πŸ… πŸ˜‹
 
Hahaha
 
Na anavyojua kudeka sasa....!!!!

Wema mdekezaji kampata na mahaba kedekede ahahaahahaaa.

Thanks πŸ™ on behalf, but get in there at your own risk 😜.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…